Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
- Thread starter
-
- #81
Asante Sifongo,kwa kweli kama haijakutokea au kusimuliwa na mtu wa karibu inakuwa ngumu kuamini,lkn ndio hivyo watu wanajitoa akili na kufanyia wenzao upuuzi km huu!Ht mimi km nilikuwa na wasiwasi japo nishawahi kusikia vitu km hivyo,ila nipo saloon muda huu hapa k,koo nawasimulia washkaji wanasema mbona mambo hayo mengi tu town hasa pande za mbagala.pole sana dada.
Yes ina nembo ya bank,Ila sio busara kuandika jina la benk hapa wakati mwenye matatizo ni mtu binafsi na sio bank,nisamehe kwa hilo!Cantalisi umesema alikuwa na shati lenye nembo ya bank? Kama ni teller au cashier basi leo kazini ataharibu kazi maana nina hakika mpaka sasa akili yake haijatulia kwa fedheha ya kwenye daladala. Hapo alipo anahisi kila mtu anajua ama kamuona kwenye hiyo daladala. Hebu tudokeze ni bank gani maana nina marafiki kwa benki ili niwakanye hii tabia
Nshaanza kuelewa sasa, haya hebu nambie huko kwenye ukwapa ulifanikiwa kupitisha kiwembe siku za usoni? Nahisi njemba ilidhani ni vile vinyweleo vinavyozunguka kikojoleo......... Sasa dah.....jamaa likawa linaimagine linafanya tendo la kisababisha mtoto! Hatari sana hii............. BTW bila kuzingatia itifaki, vipi hukujisikia kamsisimko flani hivi? Ungekasikia ungeanzisha hii sredi? Nauliza tu nipate kujua jamani.....Haaa haaa haaa,babu mbavu zangu mie,surual na blauzi yenye mikono ya kuishia began,koti nilikuwa nimelishika mikononi,ningejua nigelivaa kbs!
Shem.........kamusi inatafsiri nini kwenye hilo neno hapo kwa bold?Dah! Unajua bana kama hujaridhia na mtu humfahamu yaaaani ni kero na kama uchafu... ndo hapo waweza oga Masaaa!! Pole saana Dear...
Jamani babu,sio kwenye kwapa,mie nikuwa nimekaa alipokuwa anasugua ni mkononi karibu kbs na bega hapana vinyweleo babu!Nshaanza kuelewa sasa, haya hebu nambie huko kwenye ukwapa ulifanikiwa kupitisha kiwembe siku za usoni? Nahisi njemba ilidhani ni vile vinyweleo vinavyozunguka kikojoleo......... Sasa dah.....jamaa likawa linaimagine linafanya tendo la kisababisha mtoto! Hatari sana hii............. BTW bila kuzingatia itifaki, vipi hukujisikia kamsisimko flani hivi? Ungekasikia ungeanzisha hii sredi? Nauliza tu nipate kujua jamani.....
Soma mwanzo mpaka mwisho na shuhuda za watu utapata jibu lwa swali lako!Hii umeitoa kwenye tamthilia ya kibongo, kinigeria au ze komedi?
Ulisinzia!Mi nilikuwepo, mbona sikuona zali lolote?
Orayt....ODM amerizika na utetezi wako...... Sasa waweza kuenda kwa amani. Usitende tena zambi, sawa eh?Jamani babu,sio kwenye kwapa,mie nikuwa nimekaa alipokuwa anasugua ni mkononi karibu kbs na bega hapana vinyweleo babu!
Asante babu kwa kunisamehe zambi zangu nami sitatenda zambi tena, amen.Orayt....ODM amerizika na utetezi wako...... Sasa waweza kuenda kwa amani. Usitende tena zambi, sawa eh?
Asante mwaya,amini tu mwaya, coz umeona watu wametoa maushuhuda yakuaminisha kbs,kuna watu wapuuzi kweli kweli dunian!Aisee! haya mambo huwa nasikikaga kwamba yanatokea nikawa siamini lol, pole mwaya
Asante Kaizer,madogo yana afadhali mkuu!Eeh..Makubwa pole Canta
Asante mwaya,umeonaeeee,bora kumwachia ngeu au kuiondoa kbs!Haki ya ukweli kuna haja ya kutembea na kiwembe
Pole mwaya
Habari zenu wadau,leo nimekuwa na asubuhi mbaya sana na hata itapelekea kuifanya siku yangu nzima ya leo kuwa mbaya,nikiwa njian nakuja kazini asubuhi kutokea mwenge kuja posta,nashukuru nilipata siti sio ya dirishan,gari ilikuwa imejaa sana watu wengi walikuwa wamesimama,pembeni yangu alikuwepo mbaba kwa kumkadiria ni km miaka 35-40 hivi alikuwa nadhifu na shati lake lilikuwa na jina la benki moja kubwa hapa mjini,yule baba kadri safari ilivyoendelea alizidi kunisogelea mpaka akawa ameegemea kile kiti na kunigusa kwenye bega la kushoto akiwa anatizama dirishan.
Kutokana na hali ya hewa ya leo ya mvua kulikuwa na folen sana tulipofika maeneo ya moroco nikawa nasinzia ila sio usingizi mzito,nikawa nahisi km kuna kitu kinanipapasa au km kusugua kwa mbali nikafumbua macho nikamwangalia yule baba naye akaniangalia nikawa sijaelewa kitu nikaendelea kulala,baada ya muda tena ile hali ikaanza nikisikilizia kwa muda nikiwa bado sijagundua kinachoendelea nikamtizama tena yule baba hakunitizama akawa anaangalia nje,nikendelea kulala ila nikiwa nasubiri ule msuguo uanze,na kweli haikupita mda ukaanza tena kwa nguvu na kwa kasi nikafumbua macho nakuangalia ile sehemu, yule baba alikuwa amefungua zipu ya suruali yake na anasugua uume wake kwenye mkono wangu kati ya kiwiko na bega,kwakweli nilishituka sana na yeye wala hakujua km nimemuona akaendelea na mchezo wake.
wandugu gafla sikujua nifanyeje nilipata hasira nikajikuta nimesimama gafla na kumchapa kofi kali yule baba kabla hasema kitu nikapiga na lingine akabaki amepigwa butwaa suruali iko wazi watu bado wanamshangaa mie nikamwita konda nakuomba asimamishe gari yule baba ndio akastuka na kukimbilia mlangoni akitashuka watu wakamzuia wakanza kumpiga wakizani ni mwizi na ameniibia nikawaambia sio mwizi msimpige akashuka huku akiwa anafunga suruali maeneo ya ubalozi, watu wakanza kuniuliza kwann nimempiga niliwaelezea kilichotokea walishangaa na baadhi kunilaumu kwann sikuacha wampige sikuweza kusema kitu nilinyamaza nikiwa na hasira kupita kiasi,
kwanza nipen pole balaa hili ambalo nimekuwa nikisikia story tu kwa watu na magazetini, na nawauliza wababa/wakaka ni kitu gani kiasababisha baadhi yao kufanya vitendo hivi,ni makusudi au ni hali inayowakuta bila kujitambua au nikuendekeza tamaa za kijinga?nawasilisha.