October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Salaaam wakuu,
Nina wazo moja la kufanya biashara ya dobi. Ndugu yangu mmoja alishawahi kuwa dobi alikuwa anafua nguo na kupiga pasi kwa siku alikuwa analaza around 10,000/= mpaka 15,000/= alikuwa anafanyia uswahilini tu.
Mimi ninataka nifanyie sehemu wanapoishi watumishi wengi kama maeneo yenye apartments za wafanyakazi, national house nk. ila sijui nianzie wapi na sijui sehemu nzuri ni wapi. Changamoto nyingine, kweli nitapata wateja maana nyumba nyingi zinaongoza kuwa na wafanyakazi wa ndani wanaofua nguo na kunyosha pasi nguo za maboss wao hata wasiokuwa hivyo wanapasi zao za umeme.
Vipi nitaliendea hili jambo? Nitapata wateja? Nitapata sehemu?
Nina wazo moja la kufanya biashara ya dobi. Ndugu yangu mmoja alishawahi kuwa dobi alikuwa anafua nguo na kupiga pasi kwa siku alikuwa analaza around 10,000/= mpaka 15,000/= alikuwa anafanyia uswahilini tu.
Mimi ninataka nifanyie sehemu wanapoishi watumishi wengi kama maeneo yenye apartments za wafanyakazi, national house nk. ila sijui nianzie wapi na sijui sehemu nzuri ni wapi. Changamoto nyingine, kweli nitapata wateja maana nyumba nyingi zinaongoza kuwa na wafanyakazi wa ndani wanaofua nguo na kunyosha pasi nguo za maboss wao hata wasiokuwa hivyo wanapasi zao za umeme.
Vipi nitaliendea hili jambo? Nitapata wateja? Nitapata sehemu?