Nipeni ushauri: Haya mahusiano na mtoto wa kigogo yananitesa

Nipeni ushauri: Haya mahusiano na mtoto wa kigogo yananitesa

Wataalam,

Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.

Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.

Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.

Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.

Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.

Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.

Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.

Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
mbususu si Lazima uisubiri unaifata huko huko mamtoni si unasema pesa imwari?

mbona kuna mademu kibao wanatoka mikoani kufuata mishedede dar, na wajuba wengi tu wanafata mbususu hadi mikoani, wew kinakushinda nini? Hebu usituaibishe....

hao walinzi wakusindikize mpaka London kampelekee moto mtoto urudi town uendeelee na mishe kila miezi mi2 unaenda,
we vep jamaa 🐒
 
Ungelikuwa unakujua huko uingereza hata usingeandika huu Uzi, ingelikuwa huyo bi mdash hajaondoka ningekushauri umwambie akupeleke vacation japo hapo Dubai lakini Basi wewe acha tu, tangu kidukulilo asepe zake marekani hatujawahi kupata mbadala wake umefeli big time wee bwege, unatunga vitu usivyovijua, hapo uingereza siku hizi unakwenda asubuhi unarudi jioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo mengine ni secret siwezi kuandika Kila kitu, ila elewa kwamba nature ya kazi yake hatuonani mpaka likizo
 
mbususu si Lazima uisubiri unaifata huko huko mamtoni si unasema pesa imwari?

mbona kuna mademu kibao wanatoka mikoani kufuata mishedede dar, na wajuba wengi tu wanafata mbususu hadi mikoani, wew kinakushinda nini? Hebu usituaibishe....

hao walinzi wakusindikize mpaka London kampelekee moto mtoto urudi town uendeelee na mishe kila miezi mi2 unaenda,
we vep jamaa 🐒
Nature ya Kaz Yake hata nikienda siwez kuonana nae
 
Binti ni wa yule aliekua bungeni? kama ni huyo angalia anatandika watu fimbo
 
Assuming ni kweli kaolewa huko, unanishaur nifanyeje?
Nimuache nirudi kwenye umasikini?
Au nibaki naye Nile Raha ila mbusus mara moja kwa mwaka?
ni vizuri kuchagua uhuru na kuepuka utumwa, mateso na stress phisically, spiritually and mentally unless ni mvivu kichiz 🐒
 
Wataalam,

Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.

Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.

Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.

Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.

Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.

Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.

Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.

Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Kigogo wa 'X'?
 
Wataalam,

Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.

Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.

Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.

Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.

Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.

Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.

Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.

Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Wee ndo umeolewa fala wewe.
 
Back
Top Bottom