Nipeni ushauri: Haya mahusiano na mtoto wa kigogo yananitesa

mbususu si Lazima uisubiri unaifata huko huko mamtoni si unasema pesa imwari?

mbona kuna mademu kibao wanatoka mikoani kufuata mishedede dar, na wajuba wengi tu wanafata mbususu hadi mikoani, wew kinakushinda nini? Hebu usituaibishe....

hao walinzi wakusindikize mpaka London kampelekee moto mtoto urudi town uendeelee na mishe kila miezi mi2 unaenda,
we vep jamaa 🐒
 
Mambo mengine ni secret siwezi kuandika Kila kitu, ila elewa kwamba nature ya kazi yake hatuonani mpaka likizo
 
Nature ya Kaz Yake hata nikienda siwez kuonana nae
 
Binti ni wa yule aliekua bungeni? kama ni huyo angalia anatandika watu fimbo
 
Assuming ni kweli kaolewa huko, unanishaur nifanyeje?
Nimuache nirudi kwenye umasikini?
Au nibaki naye Nile Raha ila mbusus mara moja kwa mwaka?
ni vizuri kuchagua uhuru na kuepuka utumwa, mateso na stress phisically, spiritually and mentally unless ni mvivu kichiz 🐒
 
Kigogo wa 'X'?
 
Wee ndo umeolewa fala wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…