The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
- Thread starter
-
- #61
Kosa ni kuichomeka tu, kufua na kupika hamna shidaNdo mademu wanakuja mpaka kwako kupika na kufua mashuka na umesema usalama wanakufatilia, Inamaana hawawazuii hao mademu? Au kukuchoma kwa demu wako wa Uingereza? Huoni umetunga nyuzi mbili zinazokinzana ili kutudanganya?
KinomaYule jamaa ako aliyekutafutia ajira bado anakusumbuaaa??
Mume wa Binti kigogo kutoka royal familyWatu wa usalama wakufuatilie wewe kama nani?
Hakuna kitu, ukiwa na maingiliano na wengine ni shida, halafu wewe siyo kigogo, so huwezi kulindwa na usalamaKosa ni kuichomeka tu, kufua na kupika hamna shida
Saivi sio sana, ila nikimuoa tu napewa na walinziHakuna kitu, ukiwa na maingiliano na wengine ni shida, halafu wewe siyo kigogo, so huwezi kulindwa na usalama
Mimi naomba niajiri tu kwenye hyo Miradi nshachoka ujoblessWataalam,
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.
Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.
Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.
Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.
Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.
Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.
Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.
Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Ukiamka utuambieWataalam,
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.
Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.
Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.
Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.
Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.
Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.
Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.
Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Basi weka mtu ambaye ni new babe wako awe kama delivery wa kitu home kama wa vyakula ambavyo ni tayari vimepikwa . So wanajua hayupo lazima uagize basi akiingia unafanya yakoSasa mkuu ndo nivumilie papuchi mara moja kwa mwaka?
Smart .....Hawa jamaa wa usalama hawawezi kushtuka kweli?Basi weka mtu ambaye ni new babe wako awe kama delivery wa kitu home kama wa vyakula ambavyo ni tayari vimepikwa . So wanajua hayupo lazima uagize basi akiingia unafanya yako
Ada haijatimiaMpaka hizi tarehe bado kuna wanafunzi hamjaliport shuleni,tatizo nini?
Shule hazijaanza kuwabana. Mtakuwa mnaanzisha anzisha nyuzi za kipuuzi mpaka tukome.Wataalam,
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.
Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.
Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.
Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.
Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.
Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.
Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.
Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Hii ni True story bwasheeNice story, Inabidi nikufanyie mpango mkae na Lamata wa jua kali mfanye kazi pamoja.
Wataalam,
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.
Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.
Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.
Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.
Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.
Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.
Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.
Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23]teh[emoji4][emoji4][emoji4]
amka unachelewa shule.