fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
duh pole sana fuata sheria tuhapana kaka me nipo mkoani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh pole sana fuata sheria tuhapana kaka me nipo mkoani.
aisee pesa hizo zinanipa mawazo sana nitaziripwa kwa njia gani.Hapo ukienda kwenye vyombo vya sheria kuna mawili.. Either boss wako akubali kwamba ulikuwa mfanyakazi wake afu kesi itakuwa kwake kwanini hakukupa mkataba wa kazi hapo lazima akulipe pia upande mwingine akikataa kwamba ww cio mfanyakazi wake kesi itakuja kwako kwanini ulikubali kazi bila mkataba kuna possibility ya kulipwa au husilipwe maana unaweza aambiwa utafute mashahidi ili waje kukutetea au kesi ikawa imeishia hapo na hela huwezi pata..
NB.. Kama unataka kwenda kwenye vyombo vya sheria tafuta wakili ambae yupo vzur
Haijawahi kutokea mtu alie wahi kudai haki kwa uoga na akafanikiwa. Kwataarifa yako haki haijawahi kuombwa, bali hudaiwa. Na uoga wako ndio Umasikini wako.hapana mkuu me nalinda usalama wangu kwanza. Nashukuru kwa mchango wako tu
Kama huna mkataba lakini ulikua unasaini kitabu cha mahudhurio at least yanazungumzika. Nenda mbele fastasikupewa mkataba wowote. Kumbuka hii ni kampuni binafsi me niliitwa na kuwapa vyeti vyangu walipovithibitisha wakasema anza kazi ikawa asubuhi nikiingia nasain tu basi siku zinaendelea mwisho wa mwezi napewa changu
Umefanyakazi kiswahili sana...kubali matokeo Mahakama itahitaji Documentmkuu lakini kuna jamaa tuliyekuwa tunafanya naye kazi na yeye aliondoka hivi nikimuita si anaweza kuwa kama shahidi wa kunitetea
Very right, attendance peke yake inatosha! Kitambulisho, na mengine yatafuata tu.Kuwa na mkataba wa kazi au kutokuwa nao ni immaterial, kwanza ni kosa kwa mwajiri kutokutoa mkataba. Hivyo, vitu kama kiambulisho cha kazini, salary slip, attendance register inatosha kuonyesha kuwa ulikuwa na mkataba.
Siyo kweli kwamba deni halimfungi MTU, kuna wafungwa wa madai. Hivyo, hizo in porojo tuu za mtaani. Kama hakulipi na anamali, naiwapo umeshinda shauri, Mali hupigwa mnada ili ulipwe madai yako.
Hata hivyo, yawezekana umeshachelewa kufikisha malalamiko yako kwenye mamlaka husika, I.e CMA
Hiyo attendance anaimiliki yeye au Mwajiri wakeVery right, attendance peke yake inatosha! Kitambulisho, na mengine yatafuata tu.
Hahahahah swali gani hili? Tangu lini mfanyakazi akamilliki attendance register? Najua unachotaka Kusema but hawezi kuitupa attendance register au kumfuta Kwa namna yoyote! Ile attendance lazima atatakiwa aipeleke CMAHiyo attendance anaimiliki yeye au Mwajiri wake
tupo wawili tu tunaodai badi anayedai pesa nyingi ni mimi tu jamaa yangu yeye anadai kama mshahara wa miezi 2.Wanasema huwezi shindana na bosi wako hata ukienda huko vyombo vya sheria unaweza udhulumiwe haki yako maana mkubwa ndie anaetazamwa zaidi so we kama ni mtu wa MUNGU mwachie yeye atakunyanyua tuu.
Kwa mfano huyo bosi unataka uniambie hajui kuwa unamdai? ni wewe peke yako unadai au kuna wenzio? after all haki itendeke haijalishi wangapi mnadai...
Mpe last warning asipokulipa nenda zako MUNGU hamtupi mja wake.
asante kwa ushauri ndugu yanguBado sheria iko upande wako, ukisoma vizuri sheria ya ajira na kazi ya mwaka 2004, kuna mkataba wa kuandikwa na mkataba wa kutamkwa,
Nenda kwa watu wa sheria watakusaidia, sema yote hata kama hukupewa likizo we sema yote
Hapo hauna chako mkuusikupewa mkataba wowote. Kumbuka hii ni kampuni binafsi me niliitwa na kuwapa vyeti vyangu walipovithibitisha wakasema anza kazi ikawa asubuhi nikiingia nasain tu basi siku zinaendelea mwisho wa mwezi napewa changu
Ulitakiwa kuliiba daftari la kusainsikupewa mkataba wowote. Kumbuka hii ni kampuni binafsi me niliitwa na kuwapa vyeti vyangu walipovithibitisha wakasema anza kazi ikawa asubuhi nikiingia nasain tu basi siku zinaendelea mwisho wa mwezi napewa changu