Nipeni ushauri machozi ya shemeji yamenikosesha amani

Nipeni ushauri machozi ya shemeji yamenikosesha amani

SIPIYU30

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,751
Reaction score
2,437
Sikuwahi kutarajia hii hali. Nina mshikaji wangu ambaye tulikutana kwenye kituo cha kazi mkoa x kipindi hicho mimi ndo nimetoka kumaliza chuo. Hatuzidiani sana umri sema mimi ndo namzidi jamaa kama mwaka mmoja. Ila yeye alitangulia kuoa, so nikawa nampa heshima zake. Mwaka huo huo mimi nikaoa, na yeye akajitwisha jukumu la kuwa msimamizi wa harusi yangu. kuanzia hapo urafiki wetu ni zaidi ya urafiki, na zaidi ya undugu. Yeye ni mtu wa connections sana so amenivusha kwenye mitihani mingi ya maisha.

Kuna wakati nilikuja kugundua jamaa ni mtu wa michepuko sana ila ni mjanja sana hadi kuja kugundua inahitaji akili ya ziada. Pia anamiliki mguu wa kuku ni aina ya wale watu muda wowote anasepa home na haijulikani anarudi lini, na namba nyingiiiiii za simu. Sitaki kufungua codes zaidi ya hapo najua mtakuwa mmeshaelewa huyu mtu ni wa aina gani. Kilichofanya nijue kama ni mtu wa michepuko kuna wakati tunabadilishana magari, anaweza kuniachia gari lake nikae nalo hata wiki, au yeye akachukua langu mimi nikabaki na lake. Sasa kuna vitu alikuwa anavisahau kwenye gari (i hope you understand). Ila siwezi kupata details za mwanamke yeyote anayetoka naye. Kwenye hii fani nampa heshima zake.

Mambo mengi yametokea kadiri miaka ilivyosogea. Inaonekana kuna baadhi ya codes zake mke wake kashazifungua na hawako in good terms any more. Mojawapo ni nyumba aliyoijenga hadi akamaliza bila wife kujua na akaja kujua baadaye. Kuna kipindi shem alinipigia akaniuliza baadhi ya mambo kwa kweli nikamwambia sijui chochote (na kweli sina details zozote), hata anazonisimulia shem sizijui. Sasa kadiri miaka inavyosonga mambo yanazidi kwenda mrama. Kuna siku shem akanipigia na kuniambia mume wake ana wanawake wengi siyo chini ya 15, na kuwa amechoka na hajui la kufanya. Leo hii amenipigia akiwa anatembea barabarani, nilivyopokea simu akawa anaongea kama mtu aliye msibani, anaongea huku analia. Amelemewa na mawazo kiasi kwamba ananitafuta tuonge mimi na yeye. Sasa i smell something fishy. Yeye na mke wangu ndo mabest wanapigiana simu wanajuliana hali. ila sasa hataki kuongea na mke wangu anataka kuongea na mimi tukiwa peke yetu, anasema atatafuta sehemu peke yetu.

Huyu jamaa siyo kwamba tuna ukaribu kivileee. yaani aliniwekea boundary kubwa sana kiasi kwamba hakuna yale mazoea ya kutaniana au ile hali ya kumchana mshikaji. Kuna wakati inaweza kupita miezi hata mitatu hatujawasiliana na tukiwasiliana ni very brief. so hakuna muda wa kujua details za mwenzako. siri zangu ni zangu na siri zake ni zake. Huwa tunawasiliana pale ambapo kuna issue muhimu baada ya hapo mawasiliano yanakata. Sasa, nimewaza sana. huyu shem anataka tuongee nini na nimshauri nini? Je, what if anataka kulipiza kisasi kwa kudate na mimi kama namna ya kujiliwaza? Na jamaa akijua nawasiliana na mke wake (hata kama hatufanyi lolote) nini kitafuata. Sasa nimemblock shemeji aache kuchat whatsaap wala sms. Nimemwambia kama kuna issue tafuta muda nipigie kawaida tuu, maana whatsaap na sms mtu anaweza kuhack.

Roho inaniuma maumivu ya huyu mwanamke mtoto mzuri asiyechuja sura angavu. Lakini siwezi kumshauri lolote maana atakachoniambia mimi sina namna ya kuprove kama ni kweli au uongo. Na hata kama najua siwezi sema lolote kwa sababu madhara yake ni makubwa kuliko faida. Nifanyeje katika hali hii wakuu? Ninavyozidi kumkaushia shem ndo anaona mimi najua issues za jama na ninamkingia kifua jamaa. Lakini nikiruhusu kuwa na ukaribu na shem siku jamaa akijua bastola itanihusu. Hii ndo inaitwa njiapanda/dilemma.
 
ongeanao wote issue nyepesi hii!

kutananae ktk mazingira yasiyonashaka msikilize mwanzo mwisho usishauri chochote!,baada ya hapo mtafute jamaa yake mueleze ulichoelezwa na mkewe then msikilize huku ukisoma saikolojia yake kuanzia anavyopokea taarifa mpk nayeye anapoanza kushusha taarifa zake.

sasa majibu ya mshikaji ndio yatakupa go ahead ipi yani ufanye nini aidha uwaachie mambo yao au uyatatue!, usiende ukasema dhaifu lolote kwa huyu ukalipeleka kwa huyu,pili usiegamie kokote hata kama mkosaji anaonekana kama utaweza mkosaji mshauri amuombe mwenzake msamaha!.

neno muachane lisitoke ktk kinywa chako ukishindwa kabisa washauri waende kwa wakubwa hapo wewe kaa mbali.
 
Umefanya vizuri ku limit namna ya kuwasiliana, ila wanawake ni dhaifu hata mkiwa mnapigiana tu simu ukimwambia afute baada ya kuongea anaweza puuzia, kikubwa tafuta muda ongea nae mchane kwamba hata akienda kwa mwanaume mwingine atakutana na hayohayo, hivyo avumilie as long anapata huduma zote kama mke alaf usiwe unapokea sim zake ataelewa taratibu
 
Wewe sema unataka kubandua ila kinachokuogopesha ni Mguu wa kuku. Kwa sababu eti umemblock WhatsApp na sms, kwani nani kakuambia Calls huwezi kuwa hacked?

As long as hakuna chochote kibaya na wala hakuna intentions zozote mbaya, mimi sidhani kama kuna shida kuwasiliana.

Kumblock tu, ni red flag kwa mchunguzi. Itatengeneza mawazo yasiyokuwepo.

Atakufyatua makalio fala wewe.
 
Umefanya vizuri ku limit namna ya kuwasiliana, ila wanawake ni dhaifu hata mkiwa mnapigiana tu simu ukimwambia afute baada ya kuongea anaweza puuzia, kikubwa tafuta muda ongea nae mchane kwamba hata akienda kwa mwanaume mwingine atakutana na hayohayo, hivyo avumilie as long anapata huduma zote kama mke alaf usiwe unapokea sim zake ataelewa taratibu
Good thinking
 
ongeanao wote issue nyepesi hii!!
kutananae ktk mazingira yasiyonashaka msikilize mwanzo mwisho usishauri chochote!,baada ya hapo mtafute jamaa yake mueleze ulichoelezwa na mkewe then msikilize ...
Sio kwamba jamaa hajui anachokifanya ni kosa, hivyo jamaa akijikuta mshauri kwenye mahusiano yao ataonekana snitch tu.

Wanaume tunajua tunachokifanya kwa 100% ukijitokeza wa kuingilia ndio mguu wa kuku utahusika
 
Sio kwamba jamaa hajui anachokifanya ni kosa, hivyo jamaa akijikuta mshauri kwenye mahusiano yao ataonekana snitch tu,
Wanaume tunajua tunachokifanya kwa 100% ukijitokeza wa kuingilia ndio mguu wa kuku utahusika
😂 unaogopa mguu wakuku sio..? huko dar si mnailaga hiyo!
 
Punguza kitete mkuu, usikute anataka muongee kawaida tu sema wewe ushaanza kuwaza mbususu ya shemeji yako[emoji3]...sometime wanawake wanataka mtu wa kuongea nae tu atue mzigo wa moyoni!

Kumbuka c wanawake wote wanaweza visasi tena usikute katika hali hyo hawezi mpa mtu mwingne mbususu.

Kuna mwanamke ili atoe mbususu lazima awe na utulivu wa moyo na nafsi ndo aweze kuchepuka otherwise mwanamke asiyeridhika kitandani kwa mumewe ndo anaweza kuchepuka kirahisi sana!
 
Sikiliza mfariji na mwambie amwombee tu mmewe ni changamoto tu za muda itakaa sawa tu.

Watie moyo na mweleze kuwa yeye ni mwanamke mznuri na jamaa anampenda na kumweshimu pia inawezekana tu anapita kwenye changamoto ambazo asingependa yeye kama mke azijue.

Aendelee kuwa mvumilivu na mtulivu.

Tafadhari usjiaribu kutembea naye.
 
Huenda anataka tu muongee atue mzigo sio kama unavyowaza ...nenda kamsikilize
 
Sikuwahi kutarajia hii hali. Nina mshikaji wangu ambaye tulikutana kwenye kituo cha kazi mkoa x kipindi hicho mimi ndo nimetoka kumaliza chuo. Hatuzidiani sana umri sema mimi ndo namzidi jamaa kama mwaka mmoja. Ila yeye alitangulia kuoa, so nikawa nampa heshima zake. Mwaka huo huo mimi nikaoa, na yeye akajitwisha jukumu la kuwa msimamizi wa harusi yangu. kuanzia hapo urafiki wetu ni zaidi ya urafiki, na zaidi ya undugu. Yeye ni mtu wa connections sana so amenivusha kwenye mitihani mingi ya maisha.

Kuna wakati nilikuja kugundua jamaa ni mtu wa michepuko sana ila ni mjanja sana hadi kuja kugundua inahitaji akili ya ziada. Pia anamiliki mguu wa kuku ni aina ya wale watu muda wowote anasepa home na haijulikani anarudi lini, na namba nyingiiiiii za simu. Sitaki kufungua codes zaidi ya hapo najua mtakuwa mmeshaelewa huyu mtu ni wa aina gani. Kilichofanya nijue kama ni mtu wa michepuko kuna wakati tunabadilishana magari, anaweza kuniachia gari lake nikae nalo hata wiki, au yeye akachukua langu mimi nikabaki na lake. Sasa kuna vitu alikuwa anavisahau kwenye gari (i hope you understand). Ila siwezi kupata details za mwanamke yeyote anayetoka naye. Kwenye hii fani nampa heshima zake.

Mambo mengi yametokea kadiri miaka ilivyosogea. Inaonekana kuna baadhi ya codes zake mke wake kashazifungua na hawako in good terms any more. Mojawapo ni nyumba aliyoijenga hadi akamaliza bila wife kujua na akaja kujua baadaye. Kuna kipindi shem alinipigia akaniuliza baadhi ya mambo kwa kweli nikamwambia sijui chochote (na kweli sina details zozote), hata anazonisimulia shem sizijui. Sasa kadiri miaka inavyosonga mambo yanazidi kwenda mrama. Kuna siku shem akanipigia na kuniambia mume wake ana wanawake wengi siyo chini ya 15, na kuwa amechoka na hajui la kufanya. Leo hii amenipigia akiwa anatembea barabarani, nilivyopokea simu akawa anaongea kama mtu aliye msibani, anaongea huku analia. Amelemewa na mawazo kiasi kwamba ananitafuta tuonge mimi na yeye. Sasa i smell something fishy. Yeye na mke wangu ndo mabest wanapigiana simu wanajuliana hali. ila sasa hataki kuongea na mke wangu anataka kuongea na mimi tukiwa peke yetu, anasema atatafuta sehemu peke yetu.

Huyu jamaa siyo kwamba tuna ukaribu kivileee. yaani aliniwekea boundary kubwa sana kiasi kwamba hakuna yale mazoea ya kutaniana au ile hali ya kumchana mshikaji. Kuna wakati inaweza kupita miezi hata mitatu hatujawasiliana na tukiwasiliana ni very brief. so hakuna muda wa kujua details za mwenzako. siri zangu ni zangu na siri zake ni zake. Huwa tunawasiliana pale ambapo kuna issue muhimu baada ya hapo mawasiliano yanakata. Sasa, nimewaza sana. huyu shem anataka tuongee nini na nimshauri nini? Je, what if anataka kulipiza kisasi kwa kudate na mimi kama namna ya kujiliwaza? Na jamaa akijua nawasiliana na mke wake (hata kama hatufanyi lolote) nini kitafuata. Sasa nimemblock shemeji aache kuchat whatsaap wala sms. Nimemwambia kama kuna issue tafuta muda nipigie kawaida tuu, maana whatsaap na sms mtu anaweza kuhack. Roho inaniuma maumivu ya huyu mwanamke mtoto mzuri asiyechuja sura angavu. Lakini siwezi kumshauri lolote maana atakachoniambia mimi sina namna ya kuprove kama ni kweli au uongo. Na hata kama najua siwezi sema lolote kwa sababu madhara yake ni makubwa kuliko faida. Nifanyeje katika hali hii wakuu? Ninavyozidi kumkaushia shem ndo anaona mimi najua issues za jama na ninamkingia kifua jamaa. Lakini nikiruhusu kuwa na ukaribu na shem siku jamaa akijua bastola itanihusu. Hii ndo inaitwa njiapanda/dilemma.
we jamaa sema unataka kumla huyo shem wako. mara unamsifia mzur manake unamtamani, we mle tu ila jiandae kuliwa pia.
 
Jamaa unataka endorsement ya JF kumla shemeji yako. Shetani huwa hana noma, atakuunganisha na huyo shem wako vizuuuri kabisa, kisha atamleta jamaa aje kukumiminia risasi
 
Sikuwahi kutarajia hii hali. Nina mshikaji wangu ambaye tulikutana kwenye kituo cha kazi mkoa x kipindi hicho mimi ndo nimetoka kumaliza chuo. Hatuzidiani sana umri sema mimi ndo namzidi jamaa kama mwaka mmoja. Ila yeye alitangulia kuoa, so nikawa nampa heshima zake. Mwaka huo huo mimi nikaoa, na yeye akajitwisha jukumu la kuwa msimamizi wa harusi yangu. kuanzia hapo urafiki wetu ni zaidi ya urafiki, na zaidi ya undugu. Yeye ni mtu wa connections sana so amenivusha kwenye mitihani mingi ya maisha.

Kuna wakati nilikuja kugundua jamaa ni mtu wa michepuko sana ila ni mjanja sana hadi kuja kugundua inahitaji akili ya ziada. Pia anamiliki mguu wa kuku ni aina ya wale watu muda wowote anasepa home na haijulikani anarudi lini, na namba nyingiiiiii za simu. Sitaki kufungua codes zaidi ya hapo najua mtakuwa mmeshaelewa huyu mtu ni wa aina gani. Kilichofanya nijue kama ni mtu wa michepuko kuna wakati tunabadilishana magari, anaweza kuniachia gari lake nikae nalo hata wiki, au yeye akachukua langu mimi nikabaki na lake. Sasa kuna vitu alikuwa anavisahau kwenye gari (i hope you understand). Ila siwezi kupata details za mwanamke yeyote anayetoka naye. Kwenye hii fani nampa heshima zake.

Mambo mengi yametokea kadiri miaka ilivyosogea. Inaonekana kuna baadhi ya codes zake mke wake kashazifungua na hawako in good terms any more. Mojawapo ni nyumba aliyoijenga hadi akamaliza bila wife kujua na akaja kujua baadaye. Kuna kipindi shem alinipigia akaniuliza baadhi ya mambo kwa kweli nikamwambia sijui chochote (na kweli sina details zozote), hata anazonisimulia shem sizijui. Sasa kadiri miaka inavyosonga mambo yanazidi kwenda mrama. Kuna siku shem akanipigia na kuniambia mume wake ana wanawake wengi siyo chini ya 15, na kuwa amechoka na hajui la kufanya. Leo hii amenipigia akiwa anatembea barabarani, nilivyopokea simu akawa anaongea kama mtu aliye msibani, anaongea huku analia. Amelemewa na mawazo kiasi kwamba ananitafuta tuonge mimi na yeye. Sasa i smell something fishy. Yeye na mke wangu ndo mabest wanapigiana simu wanajuliana hali. ila sasa hataki kuongea na mke wangu anataka kuongea na mimi tukiwa peke yetu, anasema atatafuta sehemu peke yetu.

Huyu jamaa siyo kwamba tuna ukaribu kivileee. yaani aliniwekea boundary kubwa sana kiasi kwamba hakuna yale mazoea ya kutaniana au ile hali ya kumchana mshikaji. Kuna wakati inaweza kupita miezi hata mitatu hatujawasiliana na tukiwasiliana ni very brief. so hakuna muda wa kujua details za mwenzako. siri zangu ni zangu na siri zake ni zake. Huwa tunawasiliana pale ambapo kuna issue muhimu baada ya hapo mawasiliano yanakata. Sasa, nimewaza sana. huyu shem anataka tuongee nini na nimshauri nini? Je, what if anataka kulipiza kisasi kwa kudate na mimi kama namna ya kujiliwaza? Na jamaa akijua nawasiliana na mke wake (hata kama hatufanyi lolote) nini kitafuata. Sasa nimemblock shemeji aache kuchat whatsaap wala sms. Nimemwambia kama kuna issue tafuta muda nipigie kawaida tuu, maana whatsaap na sms mtu anaweza kuhack. Roho inaniuma maumivu ya huyu mwanamke mtoto mzuri asiyechuja sura angavu. Lakini siwezi kumshauri lolote maana atakachoniambia mimi sina namna ya kuprove kama ni kweli au uongo. Na hata kama najua siwezi sema lolote kwa sababu madhara yake ni makubwa kuliko faida. Nifanyeje katika hali hii wakuu? Ninavyozidi kumkaushia shem ndo anaona mimi najua issues za jama na ninamkingia kifua jamaa. Lakini nikiruhusu kuwa na ukaribu na shem siku jamaa akijua bastola itanihusu. Hii ndo inaitwa njiapanda/dilemma.
Yani umeombwa mkutane, tayari umeshajiongeza.

Hebu kaza kiume, sio Kila mwanamke anayekatiza mbele yako lazima upige. Na sio Kila mwanamke unatakiwa kumuwekea mawazo kama uliyonayo kichwani.
 
Sikuwahi kutarajia hii hali. Nina mshikaji wangu ambaye tulikutana kwenye kituo cha kazi mkoa x kipindi hicho mimi ndo nimetoka kumaliza chuo. Hatuzidiani sana umri sema mimi ndo namzidi jamaa kama mwaka mmoja. Ila yeye alitangulia kuoa, so nikawa nampa heshima zake. Mwaka huo huo mimi nikaoa, na yeye akajitwisha jukumu la kuwa msimamizi wa harusi yangu. kuanzia hapo urafiki wetu ni zaidi ya urafiki, na zaidi ya undugu. Yeye ni mtu wa connections sana so amenivusha kwenye mitihani mingi ya maisha.

Kuna wakati nilikuja kugundua jamaa ni mtu wa michepuko sana ila ni mjanja sana hadi kuja kugundua inahitaji akili ya ziada. Pia anamiliki mguu wa kuku ni aina ya wale watu muda wowote anasepa home na haijulikani anarudi lini, na namba nyingiiiiii za simu. Sitaki kufungua codes zaidi ya hapo najua mtakuwa mmeshaelewa huyu mtu ni wa aina gani. Kilichofanya nijue kama ni mtu wa michepuko kuna wakati tunabadilishana magari, anaweza kuniachia gari lake nikae nalo hata wiki, au yeye akachukua langu mimi nikabaki na lake. Sasa kuna vitu alikuwa anavisahau kwenye gari (i hope you understand). Ila siwezi kupata details za mwanamke yeyote anayetoka naye. Kwenye hii fani nampa heshima zake.

Mambo mengi yametokea kadiri miaka ilivyosogea. Inaonekana kuna baadhi ya codes zake mke wake kashazifungua na hawako in good terms any more. Mojawapo ni nyumba aliyoijenga hadi akamaliza bila wife kujua na akaja kujua baadaye. Kuna kipindi shem alinipigia akaniuliza baadhi ya mambo kwa kweli nikamwambia sijui chochote (na kweli sina details zozote), hata anazonisimulia shem sizijui. Sasa kadiri miaka inavyosonga mambo yanazidi kwenda mrama. Kuna siku shem akanipigia na kuniambia mume wake ana wanawake wengi siyo chini ya 15, na kuwa amechoka na hajui la kufanya. Leo hii amenipigia akiwa anatembea barabarani, nilivyopokea simu akawa anaongea kama mtu aliye msibani, anaongea huku analia. Amelemewa na mawazo kiasi kwamba ananitafuta tuonge mimi na yeye. Sasa i smell something fishy. Yeye na mke wangu ndo mabest wanapigiana simu wanajuliana hali. ila sasa hataki kuongea na mke wangu anataka kuongea na mimi tukiwa peke yetu, anasema atatafuta sehemu peke yetu.

Huyu jamaa siyo kwamba tuna ukaribu kivileee. yaani aliniwekea boundary kubwa sana kiasi kwamba hakuna yale mazoea ya kutaniana au ile hali ya kumchana mshikaji. Kuna wakati inaweza kupita miezi hata mitatu hatujawasiliana na tukiwasiliana ni very brief. so hakuna muda wa kujua details za mwenzako. siri zangu ni zangu na siri zake ni zake. Huwa tunawasiliana pale ambapo kuna issue muhimu baada ya hapo mawasiliano yanakata. Sasa, nimewaza sana. huyu shem anataka tuongee nini na nimshauri nini? Je, what if anataka kulipiza kisasi kwa kudate na mimi kama namna ya kujiliwaza? Na jamaa akijua nawasiliana na mke wake (hata kama hatufanyi lolote) nini kitafuata. Sasa nimemblock shemeji aache kuchat whatsaap wala sms. Nimemwambia kama kuna issue tafuta muda nipigie kawaida tuu, maana whatsaap na sms mtu anaweza kuhack. Roho inaniuma maumivu ya huyu mwanamke mtoto mzuri asiyechuja sura angavu. Lakini siwezi kumshauri lolote maana atakachoniambia mimi sina namna ya kuprove kama ni kweli au uongo. Na hata kama najua siwezi sema lolote kwa sababu madhara yake ni makubwa kuliko faida. Nifanyeje katika hali hii wakuu? Ninavyozidi kumkaushia shem ndo anaona mimi najua issues za jama na ninamkingia kifua jamaa. Lakini nikiruhusu kuwa na ukaribu na shem siku jamaa akijua bastola itanihusu. Hii ndo inaitwa njiapanda/dilemma.



Mkeo naye yupo kwa list
 
Ngoja nikupe kisa changu kinachoendana na chako kilichotokea 2 month ago.
Kuna manzi tulizoeana baada ya kuwa nakula mgahawani kwake,sikumtongoza maana mm ni wale wanaosubiria muangusho kwenye penati boksi.
Sasa wakati naendelea kumperemba ili alale kibla kumbe manzi ananiona mm kama shosti yake.
Siku hiyo meenda kunywa chai asbuhi nakuta manzi anamwaga chozi kuuliza nn akanionyesha meseji alizotumiwa na mademu wa bwana ake.
Kwanza nliumia ila nkajikaza kigentolomeni,nikamwambia atulie afanye uchunguzi.
Mbaya zaidi akaniteua mm niwe Private detective wake,na ni msaidie kuhack simu ya njemba yake.
Mimi nikamwambia sawa tutaanza kesho ....ndio ikawa nitolee.
Pale mgahawani nikahama akawa anapiga simu kama mwehu nikawa sipokei mwisho akanitumia msg eti ninamfichia mwenzangu maovu.
Nikapiga bloku.


Chochote anachokitaka huyo manzi kwako hakitakuwa na heri na wewe.Na iwe mwisho kuamini machozi toka kwa demu
 
ongeanao wote issue nyepesi hii!

kutananae ktk mazingira yasiyonashaka msikilize mwanzo mwisho usishauri chochote!,baada ya hapo mtafute jamaa yake mueleze ulichoelezwa na mkewe then msikilize huku ukisoma saikolojia yake kuanzia anavyopokea taarifa mpk nayeye anapoanza kushusha taarifa zake.

sasa majibu ya mshikaji ndio yatakupa go ahead ipi yani ufanye nini aidha uwaachie mambo yao au uyatatue!, usiende ukasema dhaifu lolote kwa huyu ukalipeleka kwa huyu,pili usiegamie kokote hata kama mkosaji anaonekana kama utaweza mkosaji mshauri amuombe mwenzake msamaha!.

neno muachane lisitoke ktk kinywa chako ukishindwa kabisa washauri waende kwa wakubwa hapo wewe kaa mbali.
Ngoja niwaambie ukweli. Sijawahi kufikiria, na sitafanya chochote na huyu shem. Kwanza hata kukutana ni issue sana.
Kuna mdau ameshauri vyema sana kwamba nimtafute jamaa kwanza niongee naye, lakini hata hiyo yataka moyo maana sijui response ya jamaa kwa mke wake atakapojua kuna issues mkewe kaniambia. nawazia upande wa pili kinaweza kunuka vile vile. Namwelewa jamaa yangu ni mbabe sana kwenye hizo anga. Sijui kama mmeshawahi kuwa na experience ya wanaume wa aina hii. Mimi nilichoona ni kwamba mbali na kukosa mapenzi ya dhati kwa mumewe, ni kwamba hata mtu wa kuongea naye na kupiga naye story anakosa, ile hali ya friendship kati yao haipo tena. Kuna ndoa mwanamke ni kama mdoli tu au mtumwa flani ambaye badala ya kusikilizwa anapewa tu maelekezo.
 
Jamaa si mwanao ws damu yaan mshikaji wako sasa kwa nn uogope wakati mm mshikaji wangu km na mchepuko ndo mtu wa kwanza kunwambia oya leo sipo home akipiga wife mwambie tuko kikazi sehem🤣🤣🤣Muite mshikaji wako mwambie baba unaharibu shem keshajua tafuteni jinsi ya kumweka sawa huyo dem bila yy kujua mnashilikiana na mshikaji..ila kama utakaa kimya harafu mshikaji akajua unawasiliana na mkewe atakuona ni snich.
 
Back
Top Bottom