Ahsante kamanda ngoja nianze ni hii ya kwanza!Mkuu KYALOSANGI Jaribu dawa zangu kutumia huenda Mke wako akapona hayo matatizo ya kuumwa ana miguu tumia kisha unipe feedback:
MAUMIVU YA MIGUU:
Kila Tiba kati ya zifuatazo ni yenye kujitegemea.Chagua iliyo rahisi kwako.Isipokufaa ndipo uchague nyengine
TIBA 1:
Tafuta nusu kijiko cha chai (2.5ml) ya habbat saudai na asali kijiko 1(10ml).
Tumia kutwa mara tatu (1Γ3) mpaka maumivu yatakapokwisha.
TIBA 2:
Tafuta ujazo wa sawa kwa sawa wa madawa 23 yafuatayo:
Habbat saudai,Bakal hadi,Manimani,Sufa,Harmal,Safarat Baydhwa,Binzari nyembamba,Shimari,Habbat Rehani,Basbasi jauzi,Kamun as-wad,Kamun ab-yadhwi,Zamda ya mbegu,Tangawizi,Karafuu,Daru fil fil,Uwatu,Khaldar,Zaatar,Hal-titi, Mdalasini,Kuz-bara,Hiliki.
Twanga madawa haya ili upate unga wake.Chukua kijiko 1 cha chai (5ml) changanya na kijiko cha chakula (10ml) cha asali. kula
Tumia kutwa mara tatu (1Γ3) mpaka dawa ishe.
TIBA 3πawa ya kuchua
Changanya ujazo wa sawa kwa sawa wa madawa 16 yafuatayo:
Pakanga,Pachoor,Kachiyr,Mauwa walid,Haltiti,Bakal-Had,Mani mani,Sandal ya(unga),Habbat saudai,Basbas jauz,Fil fil-ab-yadhwi,Qusti,Tangawizi,Karafuu,Daru fil fil,Karkam.Changanya na vijiko 10 vya chai (5ml).
Twanga mchanganyiko huo halafu changanya na 230 ml za mafuta ya zaituni.Mgonjwa atajichua/chuliwa kutwa mara mbili (1Γ2).
Chanzo:Mzizimkavu Mtaalam na Mtafiti wa dawa za Asili Baruwa ya Pepe Email Address fewgoodman@hotmail.com
Mkuu mzizi heshima kwako!!daaahh mie nina tatizo kama hili ila hizi dawa namba 2 na 3 mkuu hata kutamka naweza teguka ulimi....mkuu hizi zinapatikana sayari hii hii??Mkuu KYALOSANGI Jaribu dawa zangu kutumia huenda Mke wako akapona hayo matatizo ya kuumwa ana miguu tumia kisha unipe feedback:
MAUMIVU YA MIGUU:
Kila Tiba kati ya zifuatazo ni yenye kujitegemea.Chagua iliyo rahisi kwako.Isipokufaa ndipo uchague nyengine
TIBA 1:
Tafuta nusu kijiko cha chai (2.5ml) ya habbat saudai na asali kijiko 1(10ml).
Tumia kutwa mara tatu (1Γ3) mpaka maumivu yatakapokwisha.
TIBA 2:
Tafuta ujazo wa sawa kwa sawa wa madawa 23 yafuatayo:
Habbat saudai,Bakal hadi,Manimani,Sufa,Harmal,Safarat Baydhwa,Binzari nyembamba,Shimari,Habbat Rehani,Basbasi jauzi,Kamun as-wad,Kamun ab-yadhwi,Zamda ya mbegu,Tangawizi,Karafuu,Daru fil fil,Uwatu,Khaldar,Zaatar,Hal-titi, Mdalasini,Kuz-bara,Hiliki.
Twanga madawa haya ili upate unga wake.Chukua kijiko 1 cha chai (5ml) changanya na kijiko cha chakula (10ml) cha asali. kula
Tumia kutwa mara tatu (1Γ3) mpaka dawa ishe.
TIBA 3πawa ya kuchua
Changanya ujazo wa sawa kwa sawa wa madawa 16 yafuatayo:
Pakanga,Pachoor,Kachiyr,Mauwa walid,Haltiti,Bakal-Had,Mani mani,Sandal ya(unga),Habbat saudai,Basbas jauz,Fil fil-ab-yadhwi,Qusti,Tangawizi,Karafuu,Daru fil fil,Karkam.Changanya na vijiko 10 vya chai (5ml).
Twanga mchanganyiko huo halafu changanya na 230 ml za mafuta ya zaituni.Mgonjwa atajichua/chuliwa kutwa mara mbili (1Γ2).
Chanzo:Mzizimkavu Mtaalam na Mtafiti wa dawa za Asili Baruwa ya Pepe Email Address fewgoodman@hotmail.com
Mkuu.@Kiteitei Hizo Dawa namba 2 na 3 zinapatikana kwenye Sayari ya Mars hapo Sokoni Kariakoo kaulize Madawa wanayo uza Dawa za KiarabuMkuu mzizi heshima kwako!!daaahh mie nina tatizo kama hili ila hizi dawa namba 2 na 3 mkuu hata kutamka naweza teguka ulimi....mkuu hizi zinapatikana sayari hii hii??
hahaha itabidi unapotamka ulimi uiingize ndani ya kilimi kwenye meno ya chini:becky: maana mi sijuli ni kilugaluga kimeandikwa.Mkuu mzizi heshima kwako!!daaahh mie nina tatizo kama hili ila hizi dawa namba 2 na 3 mkuu hata kutamka naweza teguka ulimi....mkuu hizi zinapatikana sayari hii hii??