Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Kwenye Koo yako huna wazee ama wanaume, hapo home hama kacheki Maisha mengine, yaani kinachofuata ni kukuua ,pia ameshapata mtu mwingine, najua mliooana ama alikuoa Ila Kama ulioa Wala usingekuja kuongea hapa, shida watu wanaoana Hawa waafrika mabinti hawajazoea kuooana bado wanajua kuolewa. Tena wewe bado u mchanga mno mkuu nakuomba sepa sahau hapo ama mpaka ufanyiwe tukio, yaani muachie nyumba aishi humo iwe ya kwake
 
😂😂🤣🤣Binafsi nimetumia masaa ma3 na dakka 47 kuusoma huo ushaur wenu wote jmn nmehuzunika ndg yetu klichomkuta lkn pia nmefurahxhwa na uxhaur wenu mzur kuna vtu namm nmjifunza hapo kuptia tu comment zenu.

Naxhukuru xana na mm nmejifunza ktu hapo🤒😀😀
 
Miezi saba mingi sanaaa, lazima ameumia sana sana..

Hili tatizo kubwa sanaaaa.. Limekuwa la kisaikolojia.

Sio peke yake kuwa hivyo duniani.. Wanaume huwa hamsikii mkianza kupewa warnings ila ndio matokeo yake hayo.

Badilisha maisha nae.. Anza kuanza kumwambia muende likizo nyie wawili sehemu.. Nchini kuna vivutio vingi pa kutulia.. Ili aje aseme yote uongee akili hapo.. Sehemu ya kula kulala tu kila baada ya muda kidogo uone itakuwaje..

Ikigoma kubadili hata kidunchu.. basi imetoka hiyooo kweli kweli
Hiyo hela ya kwenda ku bet huko jamaa hana, au utawalipia 🤔
 
🤣🤣🤣 Ndoa ni maisha baada ya harusi, ile sherehe uliyoiota ndotoni.
Ndoa siyo drama mbele ya watu nyimi.
Ndoa ya kweli huanzia moyoni, ndoa ni fumbo....: Dizasta vina.

😆😆😆 huyu jamaa sidhani kama anakula ugali kama sisi wenzake.
Huyu jamaa atakua anatumia sana ngano na Samaki 😆😆
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hazina ya watoto.

Mwenzenu nimekwama. Naomba ushauri
Badilisha lifestyle yenu kwa muda uone matokeo. Chukua nae likizo fupi msafiri mbali nyie wawili tu, iwe vacation ya kitalii muende mbuga za wanyama, or zanzbar muwe na muda wa karibu pamoja ili mtumie muda huo kuombana samahani nq kurekebisha makosa huku ukiahidi kuacha hivo vinavyomkwaza (najua ni uhuni tu wa wanawake). Onesha kujuta.

Kama asipokubali kuwa sawa again omba talaka uwachane na yeye. Kulea mtoto mmoja sio kazi sana.
 
Ndio mkome kudanga manina!!
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Nimeoa Ndoa ya Kikristo ndoa ina miaka 4 na nina mtoto mmoja tumejenga ila mke wangu ameninunia now miez 7 navumilia tu hata sijui mwisho wake.

Anasema hanipendi, upendo umeisha kwangu. Sababu kuna makosa nayarudia mara kwa mara kwamba anaona kama simpendi ,na makosa mengine ya zaman hata kabla hatujaoana .

Nimembembeleza nimejaribu kuitishana vikao na wazee amekubal ila sasa amekubali ilimradi kuwaridhisha wazee, maana baada ya hapo anasema kama tunaishi ili watu waone sawa.

So no sex no talking tunapishana kama mang'ombe. Kuachana nae nahofia mwanangu na mali tulizotafuta kwa pamoja

Nahofia tukiachana kila kitu kitasambaratika na watoto wataanza pata tabu mana mali ndio hazina ya watoto.

Mwenzenu nimekwama. Naomba ushauri
Mr fish
HAPO n kama M23
Hezbollah
Na hamas

La maana KUPANGA KUCHAGUA
Panga kumsfyeka aende zake kama trump anavyopanga KUSAFISHA gazaa

Pole sana. M yaliwahi nikuta 2005. Sikuweza vumilia miezi miwili kama wahuni kwenye nyumba mmenuniana
BAHATI atukuwa na watoto ameenda job akakuta thx mix by yas
Kila kitu chakooo yamenishindaa amehahaa miaka miwili kuweka sawa nshaamua kupangaa mkuuu

Kwa sasa nikoo na wandan wmwingine na watoto watatu n peace loh

M23 wamejaa kila ndoaa
 
Hata kama alikukuta kitandani na mwanamke mwingine hiyo ni too much.

She's planning to kill you.

Hesabu tu kuwa hiyo siyo riziki.
Kabisaa shangaz HUYO hamna tofauti na kundi la hamas ama M23. Afyaa uhaiii kwanzaaa
 
Back
Top Bottom