Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Kwahyo wao wanasoma diploma au certificateSamahani kama nitakukwaza, Ila afisa mtendaji chuo Chao kipo hombolo dodoma, wao wanapewa Sana kipaumbele Cha kazi za utendaji, hata mzumbe hiyo kozi hipo, Ila hombolo ndio penyewe kwa hiyo kada.
Certificate diproma uwezo wako wa Ada, na uvumilivu wa kusoma.Kwahyo wao wanasoma diploma au certificate
Ngoja nchek ada zaoCertificate diproma uwezo wako wa Ada, na uvumilivu wa kusoma.
Hadi sheria kumbeSheria , local government administration, Maendeleo ya jamii, public administration
Certificate au diplomaSheria , local government administration, Maendeleo ya jamii, public administration
Hii picha umeiweka kwa ajili ya kupambia tu mada yako?Mm ni mwanafunzi wa chuo X kada ya ualimu mwaka wa pili (degree) lakini pia nazitamani sana hizi kazi za uafisa utendaji wa kata ikitokea ajira katika ualimu ikiwa ni changamoto kupata. Sasa nataka kujiendeleza kielimu nikiwa hapahapa chuo kuna kozi nyingi tu zinatolewa sasa naomba mrejesho ni kozi gani itanipa sifa ya kulamba asali ya uafisa utendaji kwa ngazi ya certificate au lazima diploma
View attachment 2614462
Diplomadiploma
Unawaza kuwa mtumwa. Ajira Ni utumwa.Mm ni mwanafunzi wa chuo X kada ya ualimu mwaka wa pili (degree) lakini pia nazitamani sana hizi kazi za uafisa utendaji wa kata ikitokea ajira katika ualimu ikiwa ni changamoto kupata. Sasa nataka kujiendeleza kielimu nikiwa hapahapa chuo kuna kozi nyingi tu zinatolewa sasa naomba mrejesho ni kozi gani itanipa sifa ya kulamba asali ya uafisa utendaji kwa ngazi ya certificate au lazima diploma
View attachment 2614462
Stak kuwa mtumwa nataka kulamba asali serikalini kuna fursa nying kama unajitambuaUnawaza kuwa mtumwa. Ajira Ni utumwa.
Unaajiriiwa na mtu halafu yeye anakaa pale nyie mnapambania ndoto zake.
Kwahyo nisome diploma au certificate hapo ndo nitameet required qualificationHongera na shule Kiongozi.
Unaweza kusoma fani za Public Administration, Law, Rural Development and Policy n.k
Ingawaje kuna watu waliajiriwa hizo nafasi kwa fani za Accounts then baada ya Mwaka Mmoja niliwakuta wako Idara ya Fedha 🙌
Kwasasa Connection ni muhimu kuwa nayo
Najaribu tu kua multipurpose faini yangu kubwa ni ualimuHii picha umeiweka kwa ajili ya kupambia tu mada yako?
Hiyo kazi ya uafisa mtendaji kata kama huna connection, kuipata ni majaliwa
Sheria, maendeleo ya Jamii, utawala, uongozi. Ila unapaswa kujua mishahara yao ni midogo sana, ukilinganisha na ualimu.Mm ni mwanafunzi wa chuo X kada ya ualimu mwaka wa pili (degree) lakini pia nazitamani sana hizi kazi za uafisa utendaji wa kata ikitokea ajira katika ualimu ikiwa ni changamoto kupata. Sasa nataka kujiendeleza kielimu nikiwa hapahapa chuo kuna kozi nyingi tu zinatolewa sasa naomba mrejesho ni kozi gani itanipa sifa ya kulamba asali ya uafisa utendaji kwa ngazi ya certificate au lazima diploma
View attachment 2614462