Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
- Thread starter
- #61
Mmh bas ntajiunga mwaka huu SeptemberDiploma. NTA level 5
Mostly wanaajiri na cheti cha Diploma haswaa ile ya mwaka wa kwanza.
Certificate walishaachaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh bas ntajiunga mwaka huu SeptemberDiploma. NTA level 5
Mostly wanaajiri na cheti cha Diploma haswaa ile ya mwaka wa kwanza.
Certificate walishaachaga
Kuna kata zingine watendaji wa kata ni waandishi wa habari.Mm ni mwanafunzi wa chuo X kada ya ualimu mwaka wa pili (degree) lakini pia nazitamani sana hizi kazi za uafisa utendaji wa kata ikitokea ajira katika ualimu ikiwa ni changamoto kupata.
Sasa nataka kujiendeleza kielimu nikiwa hapahapa chuo kuna kozi nyingi tu zinatolewa sasa naomba mrejesho ni kozi gani itanipa sifa ya kulamba asali ya uafisa utendaji kwa ngazi ya certificate au lazima diploma.
View attachment 2614462
Udalali unalipa sana yan kampuni ya udalali na ng'o itayofanya kaz taifa nzma ndo ndogo zangu kubwa stalala njaa mjini(gender and inclusive education)Kweli wewe udalali unakufaa kungekuwa na kozi yake ungeenda kusomea chuo maana inaonekana una maneno kweli 😄
Mm ntakua na kampuni yangu ya taka😂😂😂😂Kuna kata zingine watendaji wa kata ni waandishi wa habari.
Nchi ni ngumu sana hii
Eehee najilambia namm asal kama wao kwa urefu wa kamba yanguKwahio utapeli wa kuuza mashamba unaweka kama mshahara wako 😆 kwa kweli injii hii 🙆♂️
Hujui chochote kijana.Unachukukua 23m unaanzaje tena kukaa kutegemea 700k kwa mwez ndo ikuendeshee maisha?
Una umri gani kijana🤔Mm ntakua na kampuni yangu ya taka😂😂😂😂
Nilichoandka kinauhusiAno gani na umri? Nina miaka 11Una umri gani kijana🤔
NImekutana na WEO huku Rufiji kaajiriwa juzi tu na ni mwenye Diploma ya Ushirika.Embu toa ufafanuz bas kaka tapate kujifunza
SipingiNilichoandka kinauhusiAno gani na umri? Nina miaka 11
Asante mkuuNImekutana na WEO huku Rufiji kaajiriwa juzi tu na ni mwenye Diploma ya Ushirika.
Na human resource pia wanachukuagaSheria , local government administration, Maendeleo ya jamii, public administration
Ukikopa mkopo wa miaka 8 hakuna rangi utaacha kuiona. Tena kwa mchanganuo wako huo niliouona hapo!Mwisho wa uhai wa mkopo ni miaka nane tu? Je nikitaka nilipe deni kwa miaka hata 15 na hela iwe ndefu haikubaliki au ndo sheria inataka hvo?
Utazisoma namba za kirumi, kichina, kigiriki na kifilipinoKama nikikopa 23m, 3m nanunua kiwanja, 5m natafuta biashara, 15m naweka Bank haiguswi
Anawasikia tu huyu. Na hayupo seriousHuu ni utoto.
Sasa Kama pesa huna shida nayo, unakopa ya Nini?
Hivi unafikiri Bank Wana undugu na wewe?
Kuna watu wamesoma BAED, HSM (Health Service Mgt), nursing (tena certificate) halafu ni WEOs. Kuna mmoja niliambiwa inasemekana ana certificate ya hotel management. Ni wale wa mwendazake aliowatoa UVCCM wakavuruge uchaguzi, hadi leo wapo.Kuna kata zingine watendaji wa kata ni waandishi wa habari.
Nchi ni ngumu sana hii