Nipeni ushauri nisome kozi gani Certificate niweze kuwa Afisa Mtendaji wa Kata

Nipeni ushauri nisome kozi gani Certificate niweze kuwa Afisa Mtendaji wa Kata

Certificate ni kwa level ya mtaa/kijiji tu
Na soon wataanza kuchukua wa diploma.
Kata walukuwa wanachukua wa diploma ila upepo ushapinduka sasa wameanza na degree holder.
Ungetaka hizo kazi ungeachana na education mapema ili uokoe wakati.
Mambo yanabadilika.
Certificate au diploma naweza soma hapahapa chuoni kipindi naendelea na masomo yangu ya degree kwahyo naweza okoa muda maana Certificate ni 1year tu kwahyo ningemudu kusoma vyote pamoja pia
 
Certificate au diploma naweza soma hapahapa chuoni kipindi naendelea na masomo yangu ya degree kwahyo naweza okoa muda maana Certificate ni 1year tu kwahyo ningemudu kusoma vyote pamoja pia
Sasa huoni kuwa unapoteza fedha bure kwa kusoma vitu vingi
Hiyo fedha ya ada nyingine uitunze fungua salooni au biashara nyingine.
Kama lengo ni ajira basi ulupaswa ufanye utafiti wa kutosha wa kujua kozi inayolipa kwa haraka kabla hujaingia chuo.
Byee
 
Sasa huoni kuwa unapoteza fedha bure kwa kusoma vitu vingi
Hiyo fedha ya ada nyingine uitunze fungua salooni au biashara nyingine.
Kama lengo ni ajira basi ulupaswa ufanye utafiti wa kutosha wa kujua kozi inayolipa kwa haraka kabla hujaingia chuo.
Byee
Elimu ndo kila kitu mm sio short sighted person kusoma ni jambo muhimu na ndo maana nataka niwe na Uwanda mpana wa kuomba kazi ntapomaliza chuo biashara ni kitu muhimu lakin napo nishaweka mipango yako mwez wa 11 nafungua PlayStation centre mungu akijaalia
 
Hata 10m inatosha, pia kuna kuuza mashamba ya kijiji na utapeli mwngi naweza fanya pia ntakula kwa urefu wa kamba 😃😃😃😃
Labda uombe Mungu upate maeneo mazuri,nchi hii Kuna Halmashauri za kichoko kinoma, kuanzia Utawala mpaka fursa zero hata shamba la kuuza hakuna.

Mshahara,Tsh 450,000.

Take home,Tsh 400,000.

Hapo moja ya tatu ya Mshahara wako ninTsh 150,000 utakayokuwa unabaki nayo baada ya Mkopo wa let's say Milioni 10 kwa miaka 8!!!!

Kwahiyo, Kama utaajiriwa sehemu mbovu maisha yatakuwa magumu kwako mnoooo.


Utaanza kukumbuka Mshahara wa Mwalimu, Tsh 771,000 basic.
 
Labda uombe Mungu upate maeneo mazuri,nchi hii Kuna Halmashauri za kichoko kinoma, kuanzia Utawala mpaka fursa zero hata shamba la kuuza hakuna.

Mshahara,Tsh 450,000.

Take home,Tsh 400,000.

Hapo moja ya tatu ya Mshahara wako ninTsh 150,000 utakayokuwa unabaki nayo baada ya Mkopo wa let's say Milioni 10 kwa miaka 8!!!!

Kwahiyo, Kama utaajiriwa sehemu mbovu maisha yatakuwa magumu kwako mnoooo.


Utaanza kukumbuka Mshahara wa Mwalimu, Tsh 771,000 basic.
Umenena mkuu
Naomba nikuulze nikiajiriwa ualimu naweza kopa 35m kwa pamoja nakama siwez naweza kopa shngap
 
Back
Top Bottom