Nipeni ushauri wadau

Nipeni ushauri wadau

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
34,181
Reaction score
41,563
Wakuu,

Leo ni Ijumaa? Kama kawa nimetoka..nipo na Pic kali nakumbukia ujana.

Kama kawaida yangu napiga bia zangu za buku sh tano...ila pic I napiga savana.

Pic ishakunywa kama savana 4 afu tushapata mbuz choma yaani mambo ni fresh...ila muda huu kuna savana mbili zimekuja mezani..sijajua zimetoka wapi..

Sasa naomba ushauri...nilianzishe ama ? Uwezo wa kununua savana zozote zile ninao
 
Wakuu,

Leo ni Ijumaa? Kama kawa nimetoka..nipo na Pic kali nakumbukia ujana.

Kama kawaida yangu napiga bia zangu za buku sh tano...ila pic I napiga savana.

Pic ishakunywa kama savana 4 afu tushapata mbuz choma yaani mambo ni fresh...ila muda huu kuna savana mbili zimekuja mezani..sijajua zimetoka wapi..

Sasa naomba ushauri...nilianzishe ama ? Uwezo wa kununua savana zozote zile ninao
Kugombana gombana sio sifa.
Ila aliyemtumia savana sijui kakuchukuliaje labda kaona hufai kuwa na pic kali kama hiyo umekaa kushoto kushoto.
 
Embu acha fujo..she amalizie hizo Savannah mkale Raha za dunia..mambo mengine mtayamaliza kesho asubuhi.
Nilitaka niku tag kumbe umefika?[emoji28]
Hapo kwenye raha sasa umegonga penyewe
 
lipia tangazo
Tangazo lipi babu ? Nipo kwenye hii situation now

Mhudumu kasema ni mtu katuma zije, ni nimemwambia yupo wapi huyo mtu kagoma kusema

Demu naye anasema either zirudi ama anywe ..hapo inabakia uamuzi wangu..ndo nasubiri wadau mnasemaje ?
 
Tangazo lipi babu ? Nipo kwenye hii situation now

Mhudumu kasema ni mtu katuma zije, ni nimemwambia yupo wapi huyo mtu kagoma kusema

Demu naye anasema either zirudi ama anywe ..hapo inabakia uamuzi wangu..ndo nasubiri wadau mnasemaje ?
ahaa, sasa nimeelewa
sema nini, huna kapicha , ya pisi, kama hutajali
 
Fanya kujibu mapigo mzungushie raundi ata mbili tu😁😁 heshima inawekwa bar
 
Fanya kujibu mapigo mzungushie raundi ata mbili tu😁😁 heshima inawekwa bar
Mkuu uwezo huo ninao ila mhudumu kagoma kumtaja..

Demu ya yeye nimembana kasema hajui chochote...
 
Back
Top Bottom