Wakuu,
Leo ni Ijumaa? Kama kawa nimetoka..nipo na Pic kali nakumbukia ujana.
Kama kawaida yangu napiga bia zangu za buku sh tano...ila pic I napiga savana.
Pic ishakunywa kama savana 4 afu tushapata mbuz choma yaani mambo ni fresh...ila muda huu kuna savana mbili zimekuja mezani..sijajua zimetoka wapi..
Sasa naomba ushauri...nilianzishe ama ? Uwezo wa kununua savana zozote zile ninao
Leo ni Ijumaa? Kama kawa nimetoka..nipo na Pic kali nakumbukia ujana.
Kama kawaida yangu napiga bia zangu za buku sh tano...ila pic I napiga savana.
Pic ishakunywa kama savana 4 afu tushapata mbuz choma yaani mambo ni fresh...ila muda huu kuna savana mbili zimekuja mezani..sijajua zimetoka wapi..
Sasa naomba ushauri...nilianzishe ama ? Uwezo wa kununua savana zozote zile ninao