Nipo Arusha natafuta kazi yoyote

Nipo Arusha natafuta kazi yoyote

Darucha

Senior Member
Joined
Dec 28, 2020
Posts
111
Reaction score
211
Kama wahenga walivyosema kwenye miti huwa hapakosi wajenzi Mimi ni kijana umri wangu miaka 25 natafuta kazi jamani ya Aina yoyote elimu yangu ni kidato Cha sita ni kijana muaminifu na mtiifu pia jamani nataka kufungua ukurasa mpya kwenye maisha yangu ukweli ni kwamba.

Nilikuwa kwenye moja ya chuo hapa Arusha ila kutokana na matatizo ya Ada nimehairisha masomo yangu na nguvu zangu nataka niziweke kwenye baadaye yangu nyingine sichagui kazi nitafanya kazi yoyote naombaeni mnisaidie jamani au mnipe connection sehemu ambayo naweza kuupata kazi sitawaangusha jamani nitaonesha uaminifu wangu na uchapakazi wangu
 
Jifunze mautundu ya kutengeneza 'animation cartoon' ukiyajua tutafutane
 
Kama wahenga walivyosema kwenye miti huwa hapakosi wajenzi Mimi ni kijana umri wangu miaka 25 natafuta kazi jamani ya Aina yoyote elimu yangu ni kidato Cha sita ni kijana muaminifu na mtiifu pia jamani nataka kufungua ukurasa mpya kwenye maisha yangu ukweli ni kwamba.

Nilikuwa kwenye moja ya chuo hapa Arusha ila kutokana na matatizo ya Ada nimehairisha masomo yangu na nguvu zangu nataka niziweke kwenye baadaye yangu nyingine sichagui kazi nitafanya kazi yoyote naombaeni mnisaidie jamani au mnipe connection sehemu ambayo naweza kuupata kazi sitawaangusha jamani nitaonesha uaminifu wangu na uchapakazi wangu
Moshi tunahitaji mtu wa computer au stationary .uwasiliane kama bado unahitaji kazi -0717157640
 
Back
Top Bottom