Darucha
Senior Member
- Dec 28, 2020
- 111
- 211
Kama wahenga walivyosema kwenye miti huwa hapakosi wajenzi Mimi ni kijana umri wangu miaka 25 natafuta kazi jamani ya Aina yoyote elimu yangu ni kidato Cha sita ni kijana muaminifu na mtiifu pia jamani nataka kufungua ukurasa mpya kwenye maisha yangu ukweli ni kwamba.
Nilikuwa kwenye moja ya chuo hapa Arusha ila kutokana na matatizo ya Ada nimehairisha masomo yangu na nguvu zangu nataka niziweke kwenye baadaye yangu nyingine sichagui kazi nitafanya kazi yoyote naombaeni mnisaidie jamani au mnipe connection sehemu ambayo naweza kuupata kazi sitawaangusha jamani nitaonesha uaminifu wangu na uchapakazi wangu
Nilikuwa kwenye moja ya chuo hapa Arusha ila kutokana na matatizo ya Ada nimehairisha masomo yangu na nguvu zangu nataka niziweke kwenye baadaye yangu nyingine sichagui kazi nitafanya kazi yoyote naombaeni mnisaidie jamani au mnipe connection sehemu ambayo naweza kuupata kazi sitawaangusha jamani nitaonesha uaminifu wangu na uchapakazi wangu