SarcasmWatu wa chini wapi? Mbona Porverty ni kubwa sana sikiliza nyie vilaza, Miradi ya vitu haiondoi umasikini. China wana Projects za aina mbili za Miundo mbinu na projects za kuondoa umasikini kwa raia wao, the same na India.
Nyie vilaza wa Taifa mnahadaiwa na miradi ya miundo mbinu ilihali pembeni tu ya mradi kuna umasikini wa kutisha.
Chuki huondoa hata uwezo kidogo wa akili aliyonayo mwanadamu.Tatizo kubwa la sisi watanzania ni ubinafsi na upeo finyu. Tunawakuwa wa kutoa sifa kwa kutumia vigezo vidogo vya kibinafsi tena pale tunapofaidika tu. Kna faida gani kujenga daraja wakati Magufuli alivuruga nchi kwa kuasisi mfumo wa kupora kura na mauaji? Hayo yanayofuta hata hayo madogo aliyofanya.
Kasome jinsi India au China zinavyo ondoa umasikini ndio utarudi uelewe kwamba Madaraja hayaondoi umasikiniSarcasm
HujanielewaKasome jinsi India au China zinavyo ondoa umasikini ndio utarudi uelewe kwamba Madaraja hayaondoi umasikini
Kwahiyo lilipovunjika daraja la wami...China au India na Mataifa mengine yanayo jitambua wana Project za aina mbili.
1. Project za miundo mbinu
2.Projects za kuondoa umasikini.
Sasa Bongo ya wajinga wanaaminishwa kwamba ukisha jenga Daraja au lami umasikini kwsisha automatic.
Hayo mataifa wanavyo kuwa na project mbili mbili kwani hawajui hilo?
Masha plan baada ya vita kuu ya poli ya Dunia ilikuwa na projects za kujenga miundombinu Ulaya na pia Project za kuondoa umasikini wa vipato.
Ndio maana hata ukienda migodini kama kule North Mara km 3 kutoka Mgodi ulipo unakutana na umasikini mkubwa sana. Make waliaminishwa unasikini utaondoka automatic kupitia mgodi.
Endeleni kuhadaiwa na CCM
sio classmate wako kweli?R.i.P John....😥
Hapo ujinga uko wapi? Usitumie kichwa kubebea kamasi, utaondoa umasikini bila kuwa na miundombinu bora?Sikiliza wewe mjinga Ethiopia walikuwa na Project kubwa kuliko hizo, ila raia wakawa wanakimbia sana nchi, mpaka baadse Waziri mkuu wao amenza kuja na Projects za kuondoa umasikini na very soon hamtawaona wa ethiooia wanakimbia nchi tena.
Sasa wa hadae wajinga wa hili Taifa, Projects kubwa sana ila life la watu ni gumu sana ina maana gani?
Mbona India bado kuna extremely poverty?Watu wa chini wapi? Mbona Porverty ni kubwa sana sikiliza nyie vilaza, Miradi ya vitu haiondoi umasikini. China wana Projects za aina mbili za Miundo mbinu na projects za kuondoa umasikini kwa raia wao, the same na India.
Nyie vilaza wa Taifa mnahadaiwa na miradi ya miundo mbinu ilihali pembeni tu ya mradi kuna umasikini wa kutisha.
Kama ndivyo ni kwanini basi mnawateka na kuwaua watu mnaowaona ni Wapinzani wa CCM?? Kwanini mnawazuia kuingia kwenye uchaguzi?? Kwanini miradi hiyo isiwe silaha tosha ya kukinadu CCM??Hilo daraja ni moja kati ya miradi bora kabisa ya CCM. Pia kuna daraja la Simiyu, naona ujenzi umeanza
Sasa wajikite kutengeneza barabara ya Mwanza-Musoma, na Mwanza-Shinyanga
Salaam.
Leo nimepata safari ya kuja kigongo Busisi aiseee ukiwa dar es salaam huwezi elewa umuhimu wa hili daraja.
Magufuli aliona mbali sana na alipenda maisha ya watu wa chini yawe na nafuu ndio maana miradi yake mingi ililenga watu wa hadhi ya chini kama Stendi (stend za mabus nchi hii ziliota kama uyoga kwenye uongozi wake) na haya madaraja.
Nimeona umuhimu wa hili daraja na Magufuli baada ya kukaa ferry saa moja na dakika 32 kuvuka tu umbali wa Km 3.2 aiseee.
Hongera zake Magufuli ameacha alama.
Rais Dr Samia Suluhu Hassan na wewe ujenge pale kivukoni (ferry) Jijini Dar es salaam uache alama kubwa Kwa Watanzania.
Uwepo wa ATCL ni kutimia kwa mradi mkubwa, pesa ya utalii na mzunguko mzima wa biashara ya kusafirisha watu kwa ndege kuna siku itakuja kumfikia mwananchi wa kawaida kule kijijini, kwa ujenzi wa zahanati na shule bora kwa ujenzi wa miundo mbinu ya kisasa ya kufikishia maji.Watu wa chini wapi? Mbona Porverty ni kubwa sana sikiliza nyie vilaza, Miradi ya vitu haiondoi umasikini. China wana Projects za aina mbili za Miundo mbinu na projects za kuondoa umasikini kwa raia wao, the same na India.
Nyie vilaza wa Taifa mnahadaiwa na miradi ya miundo mbinu ilihali pembeni tu ya mradi kuna umasikini wa kutisha.
Sasa hapo ndyo unapokosea kuita miradi ya serkali n ya ccm acha ulimbukeni bsHilo daraja ni moja kati ya miradi bora kabisa ya CCM. Pia kuna daraja la Simiyu, naona ujenzi umeanza
Sasa wajikite kutengeneza barabara ya Mwanza-Musoma, na Mwanza-Shinyanga
Sijui Hawa watu wananufaikaje kwa kupiñga kila kitu?Hujawahi kukubali jambo lolote lililofanywa na chama ambacho haukiungi mkono!
muulizeSijui Hawa watu wananufaikaje kwa kupiñga kila kitu?
Miradi ya Dr magufuli na siyo ccmHilo daraja ni moja kati ya miradi bora kabisa ya CCM. Pia kuna daraja la Simiyu, naona ujenzi umeanza
Sasa wajikite kutengeneza barabara ya Mwanza-Musoma, na Mwanza-Shinyanga