Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo hapa Diamond Auto Link ipo kona ya Bwiru!Nipo lodge inaitwa miguu kumi
Kila kitu kipo!Pako vyedi
Vya kupenda vyupaKivipi mkuu hebu fafanua[emoji848]
Narudia tena njoo Diamond hapa sasa hiviHabari wana Jf. Niende moja kwa moja kwenye mada. Nipo mwanza leo siku ya nne...kiufupi ni mgeni kabisa katika mkoa huu wa mawe (Rock city).
Sina kampani kabisa....natamani kupata marafiki wawili wa tatu waku socialize, siunajua binadamu sometimes sio vyema kuwa mwenyewe.
Mimi ni mtu wa vyombo kidogo hivyo ni vizuri nikapata wa kufanana nao, awe wa kike au wakiume...kwangu fresh tu. (Ila wakike nitaenjoy zaidi[emoji4])
Karibuni wadau....nipo kwa muda kidogo almost six month.
Hata mimi napendaga kampani ila sio ya mapenzi ungekuwa Arusha ningekujoinHabari wana Jf. Niende moja kwa moja kwenye mada. Nipo mwanza leo siku ya nne...kiufupi ni mgeni kabisa katika mkoa huu wa mawe (Rock city).
Sina kampani kabisa....natamani kupata marafiki wawili wa tatu waku socialize, siunajua binadamu sometimes sio vyema kuwa mwenyewe.
Mimi ni mtu wa vyombo kidogo hivyo ni vizuri nikapata wa kufanana nao, awe wa kike au wakiume...kwangu fresh tu. (Ila wakike nitaenjoy zaidi[emoji4])
Karibuni wadau....nipo kwa muda kidogo almost six month.
Ipo maeneo gani boss?Narudia tena njoo Diamond hapa sasa hiviView attachment 1923812
Kona ya Bwiru,njoo Mkuu!Ipo maeneo gani boss?
Mkuu unazingua njoo hapaNakuja boss ngoja nitulie kidogo
Mbona kama huku nilipo panavibe zaidiMkuu unazingua njoo hapaView attachment 1923947
Umesema upumzike kwanza,acha kuzingua Mkuu upo wapi nikufuate hapo?Mbona kama huku nilipo panavibe zaidi
Sanaa ni ww tuJioni nitasogea hapo igoma nasikia pako vyema sana