Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wapo sawa, ila kuna ambao hawafuati sheria za Mungu kama zilivyo andikwa kwenye biblia.Watu ni wale wale
Ila Kuna tofauti kidogo za Imani Kama wakristo
Fafanua, kivipi wasali kwa pamoja kwenye jengo moja?Kwa taarifa Yako, hilo kanisa alijenga na mhemko wa kisiasa. Alitaka liwe kanisa la wakristo wa madhehebu yote. Alitaka na waisalamu wasali humohumo. Wakatoliki wakakataa, ndiyo hao wengine wakakubali
how, kivipiAlipokua hai kanisa lilitumiwa na waumini wa madhehebu yote!!.
Mtu aliyekuwa Kichaa lakini akawa Waziri miaka ishirini na Rais miaka sita! Ahahahahaha!Nina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi
Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa
Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?
Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.
Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore
Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa
Kwa Sasa Waislam wametupa Nini mkuuNina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi
Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa
Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?
Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.
Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore
Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa
We ni mpumbavu sana tena mjinga. Acha kuponda usichokijua kwa kutunga story na kuleta hapa mradi tu kumkashifu marehemu Magufuli. Unaanzisha thread bila mantiki lengo likiwa kashfa kwa Magufuli. Ujinga uliopitiliza...Nina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi
Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa
Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?
Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.
Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore
Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa
Alikuwa kichaa ☑️📌Mtu aliyekuwa Kichaa lakini akawa Waziri miaka ishirini na Rais miaka sita! Ahahahahaha!
Ila watu wenye akili kama wewe mmeishia kuwa wabangaizaji na majina bandia JF! Ahahahahaha!!!
Jisemee nafsi yako.Umeandika mada ya kutuhuzunisha watanzania maana alikuwa mzalendo hasa tofauti na lililolithi limetuharibia nchi
Na wewe timamu una nini? Babaako je ana nini utimamu wake wa akili?Alikuwa kichaa ☑️📌
😅😅😅 Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kuzima nyota ya mzee baba🤔🤔🤔??? Mlikuwa wadogo wakati ule wimbo wa "pembe la ng'ombe halifichiki"? Mnatumia nguvu nyingi mno! Fanyeni yenu jamii itaona na kuwasifu kwa uwezo na si kwa kuchafua mzee wa watu.Nina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi
Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa
Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?
Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.
Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore
Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa
Wewe ndiyo kichaa naweza kusema hivyo🤔🤔Alikuwa kichaa ☑️📌