Nipo Dar, biashara ipi inalipa kati ya kukaanga miguu ya kuku na kukaanga mihogo?

Nipo Dar, biashara ipi inalipa kati ya kukaanga miguu ya kuku na kukaanga mihogo?

Sasa mkuu wewe ndo hujaielewa mada yangu
Mada yangu ina Option ya biashara mbili mihongo na kuku
Sasa wewe mkuu umeenda mbali sana et nijifunze kushona? Hujawaza ada ya kujifunza kushona inatoka wapi?
Hujawaza wakati najifunza kushona ntakuwa na afford vipi basic needs kipindi chote hicho!
Mihogo mchana anakula nani? Pangilie muda vizur uwe na mikakt endelevu mzee si kwa ubaya tu. Ukileta usela mavi uzi huu masela mavi tutahakikisha unafutwa mana tutaujaza shombo mwanzo mwisho
 
Wakuu nimemaliza chuo mwaka huu hata joho bado sijavaaa yaani Sitaki kuwa kama graduates wengine kuendekeza aibu au kuwa na yale mawazo ya watu watanionaje hapana.

Yaani bila kupoteza muda hapa Nnina wazo la biashara mbili. Biashara ya kwanza nataka nianze kukaanga mihogo.

Nyingine nataka nianze kukaanga kuku/miguu ya kuku/vichwa vyake n.k.

Biashara ipi kati ya hiyo inafaa zaidi?

Naomba mwongozo wa hizo biashara maana mimi sijawahi kufanya biashara ya aina yoyote.

Nipo Dar Buguruni.
Uza miogo ndugu
 
Mihogo mchana anakula nani? Pangilie muda vizur uwe na mikakt endelevu mzee si kwa ubaya tu. Ukileta usela mavi uzi huu masela mavi tutahakikisha unafutwa mana tutaujaza shombo mwanzo mwisho
Kwani mihongo inaliwa muda gani? Kwanza uko wapi wewe?
Na wapi nimesema ntakanga mihogo mchana?
 
Kwani Kuna tatizo?
Eee tatizo lipo kubwa sana mkuu
Wewe ni msomi ulifika level ya university cha ajabu hadi unamaliza masomo Yako hujui Cha kuja kufanya mtaani!!

Tukikuuliza ulikuwa unasomea ninj au ulikuwa unasomea Ili ukuje tu utasema tuna kunyanyapaa?

Imagine wewe ndo umesoma hujui Cha kufanya ni Nini vipi yule aliyeishia la Saba,form4 na yule asiye soma kabisa?

Binafsi sikulaumu wewe Bali nakupongeza kwa kuthubutu hata kujitokeza angalau usishinde kwenye betting hongera sana
 
Eee tatizo lipo kubwa sana mkuu
Wewe ni msomi ulifika level ya university cha ajabu hadi unamaliza masomo Yako hujui Cha kuja kufanya mtaani!!

Tukikuuliza ulikuwa unasomea ninj au ulikuwa unasomea Ili ukuje tu utasema tuna kunyanyapaa?

Imagine wewe ndo umesoma hujui Cha kufanya ni Nini vipi yule aliyeishia la Saba,form4 na yule asiye soma kabisa?

Binafsi sikulaumu wewe Bali nakupongeza kwa kuthubutu hata kujitokeza angalau usishinde kwenye betting hongera sana
Binadamu bana si Bora mm nna wazo kama Hilo? Kuomba ushauri nimekosea?
Wasomi wangapi wapo mtaani hata wazo la biashara hawana wanategemea kuajiliwa!
Wengine wanakuja hapa jukwaanikuomba msaada wapate kula najua ww ni shahidi

Hupaswi kuninanga mkuu haya maisha tu!
 
Back
Top Bottom