Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Jifunze kupokea mawazo mapya na kukubali nyongeza. Mihogo kuna msimu haipatikan kabisa. So utauza nn asubuhi wakati wa jion utauza miguu kama ulivyoshauriwa. Je unaiona wapi hii kazi ukishakuwa na familia? Au una mipango ya muda mfupi mfupi?Sijakuelewa
ASante kwa mawazo YakoZote zinafaida. Lakini angalia mtaji wako unatosha vizuri kwa biashara ipi kati ya hizo mbili. Pia chunguza hiyo location ina Wafanyabiashara wanagapi wa hizo biashara? ( hapa na maanisha kuepuka competition)
Mihogo mchana anakula nani? Pangilie muda vizur uwe na mikakt endelevu mzee si kwa ubaya tu. Ukileta usela mavi uzi huu masela mavi tutahakikisha unafutwa mana tutaujaza shombo mwanzo mwishoSasa mkuu wewe ndo hujaielewa mada yangu
Mada yangu ina Option ya biashara mbili mihongo na kuku
Sasa wewe mkuu umeenda mbali sana et nijifunze kushona? Hujawaza ada ya kujifunza kushona inatoka wapi?
Hujawaza wakati najifunza kushona ntakuwa na afford vipi basic needs kipindi chote hicho!
Uza miogo nduguWakuu nimemaliza chuo mwaka huu hata joho bado sijavaaa yaani Sitaki kuwa kama graduates wengine kuendekeza aibu au kuwa na yale mawazo ya watu watanionaje hapana.
Yaani bila kupoteza muda hapa Nnina wazo la biashara mbili. Biashara ya kwanza nataka nianze kukaanga mihogo.
Nyingine nataka nianze kukaanga kuku/miguu ya kuku/vichwa vyake n.k.
Biashara ipi kati ya hiyo inafaa zaidi?
Naomba mwongozo wa hizo biashara maana mimi sijawahi kufanya biashara ya aina yoyote.
Nipo Dar Buguruni.
Kwani mihongo inaliwa muda gani? Kwanza uko wapi wewe?Mihogo mchana anakula nani? Pangilie muda vizur uwe na mikakt endelevu mzee si kwa ubaya tu. Ukileta usela mavi uzi huu masela mavi tutahakikisha unafutwa mana tutaujaza shombo mwanzo mwisho
Nitafitie eneo kigamboni huko la kuuzia ndugu mbunge mtarajiwa😄Uza miogo ndugu
Kaka huku ata ukiuza Mmoja 500 tunanunuaAya bana naskia kigamboni kwa washua mhogo 200😄
Kaka huku ata ukiuza Mmoja 500 tunanunuaAya bana naskia kigamboni kwa washua mhogo 200😄
Hamna bayaKaka huku ata ukiuza Mmoja 500 tunanunua
Eee tatizo lipo kubwa sana mkuuKwani Kuna tatizo?
NakaziaMihogo kaangaa asubuhi halafu piga na hy ya viungo vya kuku mchana/jioni, ikiwa mtaani itakuwa unyama.
Hii kwenye mpira tunaita double pivot.Mihogo kaangaa asubuhi halafu piga na hy ya viungo vya kuku mchana/jioni, ikiwa mtaani itakuwa unyama.
Kwanini usije Lindi huku tulime kwanza alafu urudi badae mtaji uuongeze
Binadamu bana si Bora mm nna wazo kama Hilo? Kuomba ushauri nimekosea?Eee tatizo lipo kubwa sana mkuu
Wewe ni msomi ulifika level ya university cha ajabu hadi unamaliza masomo Yako hujui Cha kuja kufanya mtaani!!
Tukikuuliza ulikuwa unasomea ninj au ulikuwa unasomea Ili ukuje tu utasema tuna kunyanyapaa?
Imagine wewe ndo umesoma hujui Cha kufanya ni Nini vipi yule aliyeishia la Saba,form4 na yule asiye soma kabisa?
Binafsi sikulaumu wewe Bali nakupongeza kwa kuthubutu hata kujitokeza angalau usishinde kwenye betting hongera sana
Yeah saivi nahangakia location nkiiipata naanza muda wwteFanya ya mihogo, ukipata location nzuri na uwe una pata mzigo wa mihogo ile mi laini ndani ya mwaka uko mbali sana kama uko makini.
we tatizo hulioni?Kwani Kuna tatizo?
Unataka niuze nini?we tatizo hulioni?
Hiyo elimu yako ina msaada gani kama umesoma hadi bachelor mwisho wa siku unauza miguu ya kuku?