Anthony horowitz
JF-Expert Member
- May 4, 2024
- 421
- 1,042
SI uko dar??, sweet corner una pafahamu!Unakuta biashara za namna hiyo zipo nyingi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SI uko dar??, sweet corner una pafahamu!Unakuta biashara za namna hiyo zipo nyingi sasa
Ndio nipo darSI uko dar??, sweet corner una pafahamu!
sweet corner njia ya kuelekwa sinza, maeneo ya manzese.Ndio nipo dar
Ila sweet corner sipajui labda nielekez
Karibu na shekilango au?sweet corner njia ya kuelekwa sinza, maeneo ya manzese.
Napa pitaga tu hapo
Na hawa ndo wasomi wetu, inasikitisha sana.
Mkuu Mimi SI mwenyekiti Sana, ila shekilango SI iko maeneo Kama una enda ubungo.Karibu na shekilango au?
Alafu ukishajifunza kushona utafute pesa ya kununulia mashine, ukodishe ofisi au usubirie mtu akuajiriSasa mkuu wewe ndo hujaielewa mada yangu
Mada yangu ina Option ya biashara mbili mihongo na kuku
Sasa wewe mkuu umeenda mbali sana et nijifunze kushona? Hujawaza ada ya kujifunza kushona inatoka wapi?
Hujawaza wakati najifunza kushona ntakuwa na afford vipi basic needs kipindi chote hicho!
Yote hayo Kalaga Baho Nongwa hajayawaza amekurupuka tuAlafu ukishajifunza kushona utafute pesa ya kununulia mashine, ukodishe ofisi au usubirie mtu akuajiri
Kama hujaelewa mada s lazima uchangie mkuu
Nawe akili huna nyamazaJamaa kakupa wazo zuri mkuu,kama unaona sio zuri basi una achananalo.
Wazo lake ni zuri sana
Kwa7b unaanza basi anza kigumu gumu huku ukizidi kuangalia upepo wa biz…Nina laki MBILI
Biashara inakuja kwa kasi hii kuku na ndizi mzuzuVip kuhusu viungo vya kuku na kuku wenyewe?
Asante Sana .Idea tatu za bonus Kwa mjini nazitoa sio muda mrefu
Unaambiwa biashara ni nzuri ukiwa unasimuliwa 😄Washauri ni wengi kila mtu ni mzoefu 😅😅
Biashara ikifa ndan ya week hutawaona hapa kukusaidia
Akizitoa ni tag😄Asante Sana .
Tunasubiri
Na mishakaki Yani imebamba kinomaBiashara inakuja kwa kasi hii kuku na ndizi mzuzu
ASante mkuu nimekuelewa sanaKwa7b unaanza basi anza kigumu gumu huku ukizidi kuangalia upepo wa biz…
Biashara ya kukaanga mihogo :-
Nunua ndoo (deli) 10,000.
Ndoo ya maj, sio lazma kununua.
Ucnunue jiko, tumia mafiga na kuni.
Kuni za elf 2.
Azima meza ndogo ila sio lazima.
Kod ya eneo 10,000 inategemea ulipo.
Kalai 20,000. Ila ww anza na sufuria.
Upau elf3. We tumia spoku ya baiskel.
Chumvi kubwa 400.
Vifungashio 1,500.
Chachandu 2,000.
Benchi la wateja elf 10 azima pia.
Sahani za elf 10 ila w tumia za hom.
Usianze kwa kujumua kiroba kizima ila ww anza na mihigo ya elfu 5 kutegemea na uhitaji wa wateja wako.
Mpaka hapo utakuwa umebana matumizi kwa kiasi kikubwa mno.
Kufika hapa biz yako ipo tayari kuianza.
Bila kusahau pga maombi mengi kwa Mungu Baba ili akupe wepesi ktk hili.
Ukifanya biashara hii ndani ya mwezi m1 utakuwa ushaanza kuwa na wateja wa uhakika.
Kumbuka : Biashara yoyote ile kikubwa ni usafi.
Hivyo inahitaji uwe na lugha nzuri, muonekano mzuri uwapo kazn, usafi wa hali ya juu ktk iyo biashara.
Hii ni idea kubwa sana. Cha kuongezea tafuta na shamba pembezoni mwa daa lima hio mihogo mwezi disemba. Unga unga kodi hata heka 2. Baadae ya miezi 6 utauza/ choma hio mihogo kutoka shambani kwako. Usisahau na ndugu yake viazi vitamu.Mihogo kaangaa asubuhi halafu piga na hy ya viungo vya kuku mchana/jioni, ikiwa mtaani itakuwa unyama.