Mtoto wa kike una miguu milaini hivyo,........unakosaje michongo
Mguu wa kiume huoWewe ni Ke au Me. Sio kwa ubaya kuuliza maana Kuna michongo mingine inaendana na jinsia mfano kubeba zege, tofali, kusuka nondo nk
Kijana amejifungia ghetto anaomba mchongo.!?!Toka nenda katafute kibarua,vinginevyo utauza na naniliu kijana
Nipo hapa kiongoziKijana mtiifu aliyepo mwanza hana mchongo anicheki nipo serious
ππ Jamaa Leo kauponzaMkao gani huo umekaa, mbona kama ni miguu ya watu wawili tofauti
Hivi kuwinga ndo nini?Njoo kariakoo tukufundishe kuwinga