Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,na hilo ndio lengo kuu la huu uzi,lengo la uzi lipo hapo kwenye hicho ulichokiona.Ghetto lina AC afu unaomba mchongo?
Hahaha haha mm nmeshangaa aiseeGhetto lina AC afu unaomba mchongo?
Ukiangalia jinsi hiyo picha ilivyopigwa kwa urefu kwenda juu,unaona kabisa kua mleta mada alifanya jitihada zote ili AC itokee,lengo lake wala sio kuomba mchongo wa hela,ila alikosa tu kitu cha kuandika ambacho kitaisindikiza hiyo picha kuja hapa JF.Weka Account watu wakuwekee chochote ukale 😀vyumba vingi vina AC na hazifanyi kazi.
Kama hauna hela usikae ndani toka nenda popote utaugumia tu mchongo wa hela. Mchongo haukufuati ndani ufuate kwa kutoka
Ni mjomba uyo sema mneneAseme sasa ni shangazi au ni mjomba
Wamueche vitu vipitiwe na hewaMkao wake huo na miguu naona wana wamekomaa naye
Aseme anatafuta shangazi au anatafuta mjombaNi mjomba uyo sema mnene
Bro paja lako nimelisevu for fyucha yuzi
Shangazi ila kakosea kuweka poz la mguuAseme anatafuta shangazi au anatafuta mjomba
Asante kwa ufafanuzi Mkuu, hata mimi hili ndio wazo la kwanza kunijia baada ya kufungua hii post. Isije tu ikawa mwanaume alooo 🤣 anyway tumeona eisiiUkiangalia jinsi hiyo picha ilivyopigwa kwa urefu kwenda juu,unaona kabisa kua mleta mada alifanya jitihada zote ili AC itokee,lengo lake wala sio kuomba mchongo wa hela,ila alikosa tu kitu cha kuandika ambacho kitaisindikiza hiyo picha kuja hapa JF.
😀
Hahaha hakikaWamueche vitu vipitiwe na hewa
Jamani 😅[emoji23][emoji23]
Uza simu yako na computer pamoja na vifaa vyako vyote vya ndani urudi kijijini kulima na kuanza maisha upya, usiogope kijijini kuna maisha mazuri sana.
Mtu kati...kumbe na ww n wa Usukumani BrazaHivi kuwinga ndo nini?