Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Anataka shangaziUna mtego! Unaomba mchongo afu unapost paja....😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka shangaziUna mtego! Unaomba mchongo afu unapost paja....😁
Aseme sasa ni shangazi au ni mjombaAnataka shangazi
Pole sana mkuu. Wewe ni ke au me?
SawaKijana mtiifu aliyepo mwanza hana mchongo anicheki nipo serious
njoo kigogo sokoi tushushr mizigo kwenye fuso
Msaidieni kwa leo aleKama unaweza kutembeza vijora mcheki dada winga ana Dili atakupa pale kariakoo
Kudalaliaaa madulani kwa wateja.....unatakiwa ujue chocho zoore kkkoo na machimbo ya bidhaa zoote.....Hivi kuwinga ndo nini?
kakunja nne huku kakaa kitandaniMkao gani huo umekaa, mbona kama ni miguu ya watu wawili tofauti
Analipiwa bila Shaka. Si unaona miguu ilivyo soft.Hicho chumba unalipa Kodi mwenyewe au unalipiwa, au unakaa kwa wazazi bado?
Sio kawaida mtoto wa kiume kuwa na miguu laini hivi?!Hiyo ni kawaida mzee..... Mimi nimemfanania maza vidole na kucha za miguu na mikono ....... mpaka mademu huwa wana sema wao hawana hizi
Maybe jamaa mkao ndo kazingua 😂
Kama anaweza kuuza duka na anakaa kigamboni aje mtaani kwangu nimpe kaziMsaidieni kwa leo ale
Naomba kabla ya saa 14:30 kama atapatikana anicheki tupeane ABCKijana mtiifu aliyepo mwanza hana mchongo anicheki nipo serious
wee jamaa umezibua macho,,,miguu imepakwa mafuta ya nazi!!,,alaf miguu ina manyoya laiiiini!!Analipiwa bila Shaka. Si unaona miguu ilivyo soft.
Ni pmNipo mkolani hapa, natanguliza shukrani 🙏🏾
Mbona hiyo miguu ya kike mkuu. Unakula mbususu kwenye AC alafu unaomba mchongo?
Jamaa kasema ana vidole vizuri....Sio kawaida mtoto wa kiume kuwa na miguu laini hivi?!
Anapaka lotion
Mkao wake huo na miguu naona wana wamekomaa nayeOhh kumbe