Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Kwa mkwere manzese aaah kuna madude ya hatari hapo. Mahindi ya kuchemsha huyo mkwere anayapendq sana. Kuna mama hapo mbele anauza maboga na makande asubuhi weeewOya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANTView attachment 2644759
Yaani wewe hua una ushamba fulani daily nakuambia....unampigaje picja mtu na kumtjndika humu?Huyu apa picha jingine ilo πππView attachment 2644846
Njoo Kingston hapa kiwanja tulivu kabisa sio mbali na hapoOya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANTView attachment 2644759
Atakupiga ππNasikia wanna muitaga anti mpwayuππ
Beba goma hilo MpwayunguHuyu apa picha jingine ilo πππView attachment 2644846
Naomba usikilizwe ndugu Mpwayungu Village. Kwasasa nipo unyamani BOB "Mpumalanga ndogo", baadae nitaingia pande za Mbwisi then Midizini then nakuja hapo kuku join ndugu yangu wa damuOya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANTView attachment 2644759
Ulizia ukumbi wa ccm manyara opposite na uwanja wa fisi wajeda wanakula kichapo na street fighterwapi hapo kwenye ngumi?
Ulizia ukumbi wa ccm manyara opposite na uwanja wa fisi wajeda wanakula kichapo na street fighter
Sema mademu kama hawa huwa tunawachukulia poa tu . Unakuta K safi, wala hainuki..Huyu apa picha jingine ilo πππView attachment 2644846
Oya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANTView attachment 2644759
Acha wewee..Wewe unywe safari wenzio utunyweshe K-VANT [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Km pesa ya savannah ipo nije mkuu
Nimepata mrembo wa kunipa kampani huyu apa, ila Nina wasiwasi sijui ametumwa View attachment 2644828
Acha wewee..
Umekubuuhuu...unataka savana.. !?
Kadange hukoo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa si kinywaji nikipendacho jamani
Mwalimu savana anaitoa wapi !!? π€£π€£π€π€£π€£π€π€£ππ€π€[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa si kinywaji nikipendacho jamani
Hapo nakuja baada ya kuchangamka
huo mkao kama una mtongozaa hiviHuyu apa picha jingine ilo πππView attachment 2644846
Siwez kukununulia savanaa ilihali boss mwenyewe nakunywa ngumu kumezaWewe unywe safari wenzio utunyweshe K-VANT [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Km pesa ya savannah ipo nije mkuu