Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upuuzi kwenye uhai?Acha upuuzi basi.
Rudi huku Amani tele ni Simba na Yanga, Mwinjaku kasema hivi, baba levo kasema vile, diamond ni mkali kuliko konde, Chama anaenda Yanga, nk full Bata.Yaaan watu wanakomaa na askari kujamba unajamba ww mtz 🤣🤣🤣🤣fanya urudi usije jaza mavi barabarani waache wanaume wadai haki zao
ukirud hakikisha unapata jiko chap upate na watoto si umeona kifo nje nje,,huo ni ushauri sio sifaNipeni sifa zangu mapema kabla sijafa.
Hali ni tete huku.
Usije huku pambana na wenzako.Nina mwezi nipo huku nchini Kenya kwa hali inavyoendelea nahofia usalama wangu.
Mkiona kimya ujue ndo bye bye nishatangulia mbele ya haki.
Utajijua mwenyewe mkuu,Nipeni sifa zangu mapema kabla sijafa.
Hali ni tete huku.
ila watu 🤣🙌🏾Utajijua mwenyewe mkuu,
Usipoteze Uhai kijinga njoo Namanga usikilizie.upuuzi kwenye uhai?
Bohora la ngap ?*vbnmmnfssaaaaaazc bbsaxc wewe