vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
If Jesus call your number...
Would you be ready to go?
Would you be ready to go?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La saba nazima tu hapaBohora la ngap ?
Kwahiyo sisi watz kokote tulipo duniani tunadhihirisha uwoga wetuNina mwezi nipo huku nchini Kenya kwa hali inavyoendelea nahofia usalama wangu.
Mkiona kimya ujue ndo bye bye nishatangulia mbele ya haki.
Amen kila la kheri kwake
Kwakwel tunakosa cha kumsaidia. Mtu anahis anakaribia kufa ila anataka tumpe sifaila watu 🤣🙌🏾
afe akiwa anajijua bwan wew,,mpe sifa zake baharia uyoKwakwel tunakosa cha kumsaidia. Mtu anahis anakaribia kufa ila anataka tumpe sifa
Hamia kiongoz shida ni nini? Naul tukuchangie au?Inakuja Tanzania ambalo hawajui kudai haki zao?Mimi natamani kuhamia Kenya wewe unakimbia?Bora ubaki huko
nakuombea ufike salama uje kuwadithia ccmNina mwezi nipo huku nchini Kenya kwa hali inavyoendelea nahofia usalama wangu.
Mkiona kimya ujue ndo bye bye nishatangulia mbele ya haki.
Nina mwezi nipo huku nchini Kenya kwa hali inavyoendelea nahofia usalama wangu.
Mkiona kimya ujue ndo bye bye nishatangulia mbele ya haki.
1. Upo Mombasa?upuuzi kwenye uhai?
Heri ugali dagaa kwenye amani hakuna namna rudi nyumbaniNina mwezi nipo huku nchini Kenya kwa hali inavyoendelea nahofia usalama wangu.
Mkiona kimya ujue ndo bye bye nishatangulia mbele ya haki.
Kijana, achana na ule uoga wa Kitanzania! Ingia na wewe barabarani kupambana ili kupata uzoefu. Halafu ukirudi huku TZ, uje uwaambukize vijana wenzako akina Lucas Mwashambwa na ephen_, kwenye kulipigania Taifa dhidi ya vitendo viovu vya watawala.Nina mwezi nipo huku nchini Kenya kwa hali inavyoendelea nahofia usalama wangu.
Mkiona kimya ujue ndo bye bye nishatangulia mbele ya haki.
We mzee vipi? Kwanini wewe na wazee wenzako msipite mbele kuanzisha maandamano? Tulipofika Tz, nyie ndio mmelea uovu na uchafu woteKijana, achana na ule uoga wa Kitanzania! Ingia na wewe barabarani kupambana ili kupata uzoefu. Halafu ukirudi huku TZ, uje uwaambukize vijana wenzako akina Lucas Mwashambwa na ephen_, kwenye kulipigania Taifa dhidi ya vitendo viovu vya watawala.