Kwani ukiwa huko Kenya una Cha maana Gani ulichokuwa unasaidia Tanzania au watanzania au nduguzo?Nipeni sifa zangu mapema kabla sijafa.
Hali ni tete huku.
Jifie tu na uzikwe huko huko hatutaki Mtu asiye na faida aje kuzikwa kwa heshima Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ukiwa huko Kenya una Cha maana Gani ulichokuwa unasaidia Tanzania au watanzania au nduguzo?Nipeni sifa zangu mapema kabla sijafa.
Hali ni tete huku.
Hili halikubaliki. Nyinyi vijana ndiyo mnatakiwa kuwa mstari wa mbele kwenye kulipambania Taifa lenu, kama wanavyofanya vijana wenzenu wa Kenya.We mzee vipi? Kwanini wewe na wazee wenzako msipite mbele kuanzisha maandamano? Tulipofika Tz, nyie ndio mmelea uovu na uchafu wote
Tulizaliwa tukawakuta na mfumo wenu m'bovu! Kabla hamjafa hakikisheni mmetuacha sehemu salama!
Kama mnataka tupambane, barabarani tuingie sisi woteee! Wazee vijana wanawake wanaume woteeee
Nyumbani tuwaache watoto walio chini ya miaka 18 tuu! 🤸
Hapo vipii..?
Sawa,haina shida. Wanaotangulia nao walizaliwa kama wengine.Nina mwezi nipo huku nchini Kenya kwa hali inavyoendelea nahofia usalama wangu.
Mkiona kimya ujue ndo bye bye nishatangulia mbele ya haki.
Sio kweli! Sisi wote tuingie! nyumbani wabaki watoto tu!Hili halikubaliki. Nyinyi vijana ndiyo mnatakiwa kuwa mstari wa mbele kwenye kulipambania Taifa lenu, kama wanavyofanya vijana wenzenu wa Kenya.