Nipo Kenya naangalia namna ya kurudi Tanzania, hali inatisha sana huku

Hili halikubaliki. Nyinyi vijana ndiyo mnatakiwa kuwa mstari wa mbele kwenye kulipambania Taifa lenu, kama wanavyofanya vijana wenzenu wa Kenya.
 
Nina mwezi nipo huku nchini Kenya kwa hali inavyoendelea nahofia usalama wangu.

Mkiona kimya ujue ndo bye bye nishatangulia mbele ya haki.
Sawa,haina shida. Wanaotangulia nao walizaliwa kama wengine.
Enewe,unataka usaidiwe nini labda? Si ulienda mwenyewe?
 
Hili halikubaliki. Nyinyi vijana ndiyo mnatakiwa kuwa mstari wa mbele kwenye kulipambania Taifa lenu, kama wanavyofanya vijana wenzenu wa Kenya.
Sio kweli! Sisi wote tuingie! nyumbani wabaki watoto tu!
Wazee wetu mmezingua pakubwa sanaa! Mmelea uovu mpaka umeota na mizizi
Tz ndio tuna hali mbaya kuzidi wote EA

Gen Z hatuendi wenyewe barabarani mpaka nyie muwe mbele sisi nyuma
Ikiwezekana tuwaamshe watanzania hadi waliokufa tuende nao wote Gen A mpaka Z🤸😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…