Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

We ni me au ke
 
Hata kama ni wewe ungechoka tu na saa ingine hata usafi humo ndani husaidii kufanya mpaka mwenye chumba afanye mwenyewe.
 
Umekaa sana huenda aliyekukaribisha ndiye kamwambia hivyo maana kwanini aseme haya kama hukai kwake
 
Naenda kwangu
 
We unaonaje
Jiongeze Rudi kwenu HATA kama n kijijini
 
Unaenda kukaa kwa mtu kwa zaidi ya siku tatu kwani huna shughuli ya kufanya?
Ondoka hapo haraka Sana we mwenyewe si unaona umeshachokwa tayari na bado umekaza fuvu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…