Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Si umsage tu ...heshima itakuja yenyewe mkisagana 😁
 
KUNA Mdada MMOJA JF alishukia kwa nduguyake 2020. AKASEMA humu anateseka sana huko kwa shemejie analalaa sebulen..dah na VYUMBA KADHAA napangisha

Nikamshtua unaweza jipanga Ukakaa miezi 3 ukaanza kulipa 50 akasema ok

Akaja kmr bucha nikamwonyesha chumba...YAAN hio miezi 3 nilitaka AKAE Bure then after alipie

Loh kafika anataka kipigwe rangi mara choo chumbani NKAMWAMBIA pole hakuna .....akasema atanipigia

Nikatangaza kwa madalali nxtyday nikalipwa miezi 5 nkatulia

A week Binti anapiga basi kaka hatarangi unaweza nipakia mara una akagodoro kadogo chochote doj

Nkajibu chumba ashahamia mtu dada

Namaanisha uwezijua unaweza PATA mtu humu akupe chumba Bure cha mda shukuru Mungu usichague...ukikiwaza utaishia kama dadayangu yule

Nazidikukuweka maombini best
 
Weee I love menπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚I'm straight sio upinde
Upinde ni kwa ajili ya wanawake siyo wanaume .....mwanamke yoyote ni upinde kiasili ....ndiyo maana mwanaume akitaka kuoa wake wengi basi shariti awageuze hao wanawake kuwa upinde ndiyo anaweza kuishi nao vizuri vinginevyo watagombana milele na kugombanisha watoto pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…