Nipo kwenye mahusiano ila mwanaume wangu ana kipato kidogo. Naombeni ushauri nifanyaje?

Nipo kwenye mahusiano ila mwanaume wangu ana kipato kidogo. Naombeni ushauri nifanyaje?

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Kuna mwanaume, tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano, nampenda natamani tuanze familia.

Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi. Nina kipato Kwa Sasa hata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?

Au wataishia kayumba tu, nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki haya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground, though kaanzisha.

M-Pesa, binafsi M pesa napenda lakini mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.

Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghali, tumegombana hadi akaamua anikatie simu.

Yaani yeye anapenda kufuga kuku, mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!

Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.

Natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara hiyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yaani ananichosha na sipendi mawazo yake.
 
Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.

Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?

Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.

Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,ya tumegombana Hadi akaanua anikatie simu.

Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!

Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.
Wewe ndo hauna akili. Unahisi kisa unamzidi kipato ndo unamzidi kila kitu mpka maono na akili. Umetaja changamoto ya ufugaji lakini umesahau mpesa pia inachangamoto zake na unaweza amka tajiri ukalala maskini.
Msapot katika mawazo yake uone itakuaje so kumkatisha tamaa, otherwise muache ukutane na mabrothermen wakufirisi
 
Sasa wewe hadhi yako inahusianaje na mapenzi aisee??

Achana na hizo pigo, olewa na jamaa. Halafu kumsapoti sio lazima ueleze express hivyo unaweza fanya vitendo kimyakimya na baadae ukaona tu mwamba anafuata kile unachotaka. Kama idea yako ni biashara, fungua hiyo biashara halafu mwambie mshirikiane, awe anakaa dukani au kwenye hiyo biashara, baada ya muda utaona tu anaipenda hiyo biashara.

Halafu ishu ya ufugaji sio mbaya, ni bonge la idea. Ukitua Iringa mjini, utaambiwa ASAS ni mfugaji mkubwa wa ng'ombe, na maziwa alikua anauzia nyumbani kwake mpaka sasa amefungua kiwanda na maziwa yapo kila kona. Usimkatishe ndoto zake jamaa

Sisemi kuwa utajuta sana kumpoteza.
 
Kuna msemo mmoja usemao
"Kama unampenda utamlinda"

Upendo wa kweli haungalii vijisababu vidogo vidogo kama hivyo , Hapo nilichokugundua kwako ni hofu kwamba kwa hadhi yako akifanya hivyo watu watakuonaje , hapana usimfikirie hivyo ikiwezekana mpe nguvu katika upande wa UFUGAJI sehemu yeye anayoamini itamfaa kwani sasahivi kuna ufugaji wa kisasa utamsaidia kupunguza risk

Mwisho kumbuka hakuna aijuaye kesho so kama kuna uwezekano zaeni sasahivi muache legacy.

Yangu ni hayo tu nakutakia utekelzaji mwema
 
Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.

Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?

Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.

Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,ya tumegombana Hadi akaanua anikatie simu.

Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!

Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
Hela ufuate kwangu
 
Ndio unamkatisha tamaa. Acha hiyo tabia.
Kitu unachopenda siku zote utakifanya kwa ufanisi. , wewe unaishi watu badala ya kuishi wewe, habari ya profile au hadhi yako kwako ndoa utaisikilizia bombani. Endelea kumantain profile yako. Kwa we mwenyewe unapenda biashara ya mpesa useless then et una profile inamdharau mfugaji. Stupid.
 
Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.

Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?

Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.

Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.

Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!

Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
Atakuwa mchaga au msukuma huyo!
 
Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.

Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?

Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.

Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.

Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!

Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
Hapo wote Bado hamjakomaa kiakili, maana ya biashara ni pana mnoo! Kufunga pia inaweza kuwa biashara, ngoja waje wengine.
 
Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.

Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?

Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.

Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.

Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!

Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
still wewe si intelligent!
 
Back
Top Bottom