cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Kuna mwanaume, tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano, nampenda natamani tuanze familia.
Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi. Nina kipato Kwa Sasa hata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?
Au wataishia kayumba tu, nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki haya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground, though kaanzisha.
M-Pesa, binafsi M pesa napenda lakini mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.
Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghali, tumegombana hadi akaamua anikatie simu.
Yaani yeye anapenda kufuga kuku, mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!
Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.
Natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara hiyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yaani ananichosha na sipendi mawazo yake.
Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi. Nina kipato Kwa Sasa hata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?
Au wataishia kayumba tu, nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki haya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground, though kaanzisha.
M-Pesa, binafsi M pesa napenda lakini mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.
Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghali, tumegombana hadi akaamua anikatie simu.
Yaani yeye anapenda kufuga kuku, mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!
Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.
Natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara hiyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yaani ananichosha na sipendi mawazo yake.