Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo Hawa wanaolewa kila siku baada ya miezi mwezi wapo mitaani wanadanga na kusambaza propaganda za ndoa ngumu.Anyways....
Nimejikuta nasikitika tu
Ana akili sana kufuga kuna lipa mfano akiwa na ng'ombe wa maziwa wanao toa lita 40 kwasiku achana na wale wanao toa lita 80 kwa siku, ng'ombe wa kita 40 kwa siku akiwa nao 5 lita moja ya maziwa kima cha chini 1,000 kwa siku ataingiza laki 2 anaweza akatunza laki moja kila siku, hiyo laki moja gharama za uendeshaji na chakula nyumbaniKuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.
Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?
Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.
Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.
Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!
Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
Njoo na mtaji wako kwangu dear mimi sio masaiKuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.
Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?
Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.
Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.
Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!
Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
Napenda sana mifugo..ooh pole, honestly Kama ukikufa watoto nitasomesha Mimi, Ukinipa huyo mfugaji namfind sana.
Kwanini unakimbilia mambo makubwa wakati bado haujakomaa kiakili ?Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.
Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?
Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.
Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.
Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!
Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
Binti amefanikiwa, sasa amesahau kwamba mwanaume ndie hubeba maono ya familia...😐[
Ndiyo Hawa wanaolewa kila siku baada ya miezi mwezi wapo mitaani wanadanga na kusambaza propaganda za ndoa ngumu.
Very interesting 😎
Asante sana mkuuHuyo ni yupi sasa? Yule shombe shombe uliyempendea sura akuzalie ila hana hela au huyo ni yule dereva maroli ambaye alikuwa anakupa pesa za vocha tu?
Wewe si ndiye yule nesi uliyekuwa unalipwa posho ya nauli kipindi una shida ya mshahara, ukawa unatumia elfu 50 kwa ajili ya kusuka ili uwapagawishe wanawake wenzako kazini, Siyo?
Wewe ndiye uliyekuwa unatumia mafuta ya kula zaidi ya lita 3 kwa mwezi ukiwa peke yako geto kisa unapenda kuchoma maandazi na kukaanga chips?
Naona sasa hivi mshahara unao mpaka unafikiria mpenzi wako ataishije na watoto wewe ukifa, aiseeee😂😂😂
Stori zako nazikumbuka mtumishi idara ya afya.
Nenda equatorial guinea utamkuta mwamba uwe na namba yako 401Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.
Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?
Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.
Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.
Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!
Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
KadangeKuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.
Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?
Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.
Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.
Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!
Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .