Nipo kwenye mahusiano ila mwanaume wangu ana kipato kidogo. Naombeni ushauri nifanyaje?

Nipo kwenye mahusiano ila mwanaume wangu ana kipato kidogo. Naombeni ushauri nifanyaje?

Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.

Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?

Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.

Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.

Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!

Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
Hutaki kunukia ki moo mooo!
 
Kuna mwanaume,tuna mahusiano tuna miaka miwili Sasa kwenye mahusiano,nampenda natamani tuanze familia.

Kila nikiwaza kipato chake kinanikatisha tamaa mimi Nina kipato Kwa Sasa ata kusomesha hao watoto tutakaopata lakini nikiwaza vipi kama nikifa ataweza kuwasomesha wanangu?

Au wataishia kayumba tu Nampa mawazo ya biashara hataki anasema yeye interest yake kufuga kwakweli Kwa muonekano wangu na wadhifa wangu sitaki Aya mambo yake ya ufugaji Yana Fanya azidi kuwa underground,though kaanzisha
M.pesa,binafsi M pesa napenda lakin mambo ya kufuga Fuga sitaki labda ufuge kwaajili ya kula na Sio kuifanya biashara kuu ya kuingiza kipato.

Nikamwambia mimi naku support kwenye upande wa Mpesa na Sio kufuga nunua machine 2 ya NMB na CRDB tengeneza mazingira ya kupiga pesa anasema machine ni bei ghari,tumegombana Hadi akaamua anikatie simu.

Yani yeye anapenda kufuga kuku,mbuzi na ng'ombe mimi nitamuacha jamani!!!

Sasa tutapata fedha kweli dah namuambia mifugo usipokua makini itakufa basi ndo akazidi kukasirika akidai namkatisha Sana tamaa.natamani ajue kutafuta pesa kupitia biashara iyo ya wakala akifungua branch anaweza ku make pesa lakini amekazania mifugo!!!!! Yani ananichosha na sipendi mawazo yake .
Chochote ukikifanya kwa bidii, utashi na utafiti unatajirika. Ufugaji huishia kuwa viwanda vya usindikaji wa nyama, maziwa hata kusafirisha mazao ya mifugo kama ngozi, nyama, pembe nk. Halafu kwa nini unawaza utakufa kabla yake ? Kwa nini mwanamkenakipata pesa kumzidi mume analeta shida kwa familia ?
 
Ukiweza kukuza kuku 100 chotara au kienyeji una uwezo wa kuuza kwa wastani shilingi elf 15 kuku mmoja kwa bei ya chini sana. 15000 Mara kuku 100 ni 1,500,000/=
Na hawa wastani kifaranga kilichochangamka utanunua kwa elf 4 Hadi elf 5. Ambapo gharama yake ya manunuzi haitazidi 500000. Vyakula utafuga free range zaidi. Pamoja na Chanjo na madawa bado faida ipo
 
Chochote ukikifanya kwa bidii, utashi na utafiti unatajirika. Ufugaji huishia kuwa viwanda vya usindikaji wa nyama, maziwa hata kusafirisha mazao ya mifugo kama ngozi, nyama, pembe nk. Halafu kwa nini unawaza utakufa kabla yake ? Kwa nini mwanamkenakipata pesa kumzidi mume analeta shida kwa familia ?
Lolote laweza tokea wasi wasi ndio akili wanangu nahitaji wasome nahitaji nae awe na kipato Cha kutosha watoto wasiangaike namuona yupo slowly Sana kwenye kutafuta pesa ata saizi nikimpigia nimwanbie tu Nina shida atakuambia pesa Hana Sasa kama tu anashindwa kunisaidia mimi shida ndogo ndogo vipi hao watoto labda hatumi Kwa sababu anaona Kuna kitu ambacho kinaniingizia pesa anaona Nina pesa lakini akiwa kama mwanaume hatakiwi kuangalia kipato changu inabidi a play part yake kama mwanaume.
 
Ukiweza kukuza kuku 100 chotara au kienyeji una uwezo wa kuuza kwa wastani shilingi elf 15 kuku mmoja kwa bei ya chini sana. 15000 Mara kuku 100 ni 1,500,000/=
Na hawa wastani kifaranga kilichochangamka utanunua kwa elf 4 Hadi elf 5. Ambapo gharama yake ya manunuzi haitazidi 500000. Vyakula utafuga free range zaidi. Pamoja na Chanjo na madawa bado faida ipo
Unapoteza muda kumshauri mtu mwenye mawazo yake kichwani. We elewa kwake mpesa inafaida na ni biashara kuliko ufugaji.
 
Lolote laweza tokea wasi wasi ndio akili wanangu nahitaji wasome nahitaji nae awe na kipato Cha kutosha watoto wasiangaike namuona yupo slowly Sana kwenye kutafuta pesa ata saizi nikimpigia nimwanbie tu Nina shida atakuambia pesa Hana Sasa kama tu anashindwa kunisaidia mimi shida ndogo ndogo vipi hao watoto labda hatumi Kwa sababu anaona Kuna kitu ambacho kinaniingizia pesa anaona Nina pesa lakini akiwa kama mwanaume hatakiwi kuangalia kipato changu inabidi a play part yake kama mwanaume.
Muwezeshe kwenye ufagaji wake uone kama hizo shida ndogo ndogo na kubwa kubwa hajazitatua.
 
You woman, hadhi yako inahusiana nini na mapenzi? Unataka kumcontrol?

Anyways, kumshauri ni haki yako na ni wajibu pia ila hupaswi kumpangia cha kufanya. Heshimu maamuzi yake na uache ubinafsi wa kujitazama wewe tu!
 
Lolote laweza tokea wasi wasi ndio akili wanangu nahitaji wasome nahitaji nae awe na kipato Cha kutosha watoto wasiangaike namuona yupo slowly Sana kwenye kutafuta pesa ata saizi nikimpigia nimwanbie tu Nina shida atakuambia pesa Hana Sasa kama tu anashindwa kunisaidia mimi shida ndogo ndogo vipi hao watoto labda hatumi Kwa sababu anaona Kuna kitu ambacho kinaniingizia pesa anaona Nina pesa lakini akiwa kama mwanaume hatakiwi kuangalia kipato changu inabidi a play part yake kama mwanaume.
Pengine hakupi kwa sababu ameshagundua unamu undermine.
 
Lolote laweza tokea wasi wasi ndio akili wanangu nahitaji wasome nahitaji nae awe na kipato Cha kutosha watoto wasiangaike namuona yupo slowly Sana kwenye kutafuta pesa ata saizi nikimpigia nimwanbie tu Nina shida atakuambia pesa Hana Sasa kama tu anashindwa kunisaidia mimi shida ndogo ndogo vipi hao watoto labda hatumi Kwa sababu anaona Kuna kitu ambacho kinaniingizia pesa anaona Nina pesa lakini akiwa kama mwanaume hatakiwi kuangalia kipato changu inabidi a play part yake kama mwanaume.
Alfu mkizalishwa mnaachwa mnalalamikia wanaume, Sasa kama wewe uolewe alfu udumu kwenye ndoa kweli? Inawezekana? Hii ni maajabu never happen hiyo kichwa yako umeikalilisha ujinga sana. Hujui maisha wewe, ukiyaelewa maisha jinsi yanavyo badilika kwa haraka tajiri Kuwa maskin huwezi andika huu upuuz.
 
Back
Top Bottom