Nipo Mashakani, sidhani kama bado napendwa

Nipo Mashakani, sidhani kama bado napendwa

Kweli kabisa.
Kosa ni kumwonesha mtu kwamba unampenda sana. Ila hata kama unaumia kutowasiliana nae ukiumia kimya kimya bila kumwambia ni nzuri sana.
Akikupigia simu akitegemea utapokea kinyonge wewe jitahidi upokee na furaha yaani aone kwamba maisha yanasonga na ratiba zako zinaenda kama kawaida, lazima ashike adabu.
Tena ni vizuri kumuonyesha kuwa unampenda, don't hide your emotions Ila uache nafasi ili hata ikitokea mkaachana uweze ku-move on kirahisi.
 
img_1_1610374747247.jpg
 
1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?

2. Ulikuwa tayari ushamla?

3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:

apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili

Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu za Kiswahili na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na maujumbe yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]
Hakuna kitu huwa inaniboa kwenye charting kama huo uandishi aisee. Wao huona ni kawaida ila kwa sisi ambao tunapokea jumbe zao kiukweli zinatutesa mno.

Kwanza hata kujua kamaanisha nini huwa ni shughuli kwelikweli na hapo unakuta kaandika na vifupi vyao vya maneno kwenye "kw" kaweka "q" mfano, qnn??
 
Hakuna kitu huwa inaniboa kwenye charting kama huo uandishi aisee. Wao huona ni kawaida ila kwa sisi ambao tunapokea jumbe zao kiukweli zinatutesa mno.

Kwanza hata kujua kamaanisha nini huwa ni shughuli kwelikweli na hapo unakuta kaandika na vifupi vyao vya maneno kwenye "kw" kaweka "q" mfano, qnn??
Txn eti hii neno ni "thanks" nilichoka nilivyokuja kujua ukiangalia hii haina uhusiano kabisa, au cana badala ya "sana" na upuuzi mwingine xx/xaxa, jomoni, tyu badala ya tu, qweli badala ya kweli n.k

Afu mtumiaji wa hii lugha ukimwambia ukweli "wewe ni mshamba" anamind na kukuambia hizo ni swagger hasa vijana wa kiume wana ushamba huo sana wa kuandika uandishi wa kitoto.
 
Txn eti hii neno ni "thanks" nilichoka nilivyokuja kujua ukiangalia hii haina uhusiano kabisa, au cana badala ya "sana" na upuuzi mwingine xx/xaxa, jomoni, tyu badala ya tu, qweli badala ya kweli n.k

Afu mtumiaji wa hii lugha ukimwambia ukweli "wewe ni mshamba" anamind na kukuambia hizo ni swagger hasa vijana wa kiume wana ushamba huo sana wa kuandika uandishi wa kitoto.
Mara nyingi huwa sijibu jumbe za namna hiyo.
Nitamfikiria kidogo yule anatumia simu ndogo zile, kwasababu herufi s iko mbali so anatumia x badala ya s ili kuharakisha. Sasa mtu anatumia smartphone kabisa kwenye tu anaweka 2, sasa xaxa, mtu m2, inaboa kiukweli.
 
1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?

2. Ulikuwa tayari ushamla?

3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:

apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili

Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu za Kiswahili na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na maujumbe yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]
Naunga mkono hoja 100%
 
1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?

2. Ulikuwa tayari ushamla?

3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:

apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili

Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu za Kiswahili na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na maujumbe yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]
Mkerewe alilie organ yetu ivo,no huyu msukuma inaonyesha anapenda amani pia kujiongeza n kidgo,
 
Back
Top Bottom