Tena ni vizuri kumuonyesha kuwa unampenda, don't hide your emotions Ila uache nafasi ili hata ikitokea mkaachana uweze ku-move on kirahisi.Kweli kabisa.
Kosa ni kumwonesha mtu kwamba unampenda sana. Ila hata kama unaumia kutowasiliana nae ukiumia kimya kimya bila kumwambia ni nzuri sana.
Akikupigia simu akitegemea utapokea kinyonge wewe jitahidi upokee na furaha yaani aone kwamba maisha yanasonga na ratiba zako zinaenda kama kawaida, lazima ashike adabu.
Hakuna kitu huwa inaniboa kwenye charting kama huo uandishi aisee. Wao huona ni kawaida ila kwa sisi ambao tunapokea jumbe zao kiukweli zinatutesa mno.1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?
2. Ulikuwa tayari ushamla?
3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:
apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili
Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu za Kiswahili na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na maujumbe yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]
Txn eti hii neno ni "thanks" nilichoka nilivyokuja kujua ukiangalia hii haina uhusiano kabisa, au cana badala ya "sana" na upuuzi mwingine xx/xaxa, jomoni, tyu badala ya tu, qweli badala ya kweli n.kHakuna kitu huwa inaniboa kwenye charting kama huo uandishi aisee. Wao huona ni kawaida ila kwa sisi ambao tunapokea jumbe zao kiukweli zinatutesa mno.
Kwanza hata kujua kamaanisha nini huwa ni shughuli kwelikweli na hapo unakuta kaandika na vifupi vyao vya maneno kwenye "kw" kaweka "q" mfano, qnn??
Mara nyingi huwa sijibu jumbe za namna hiyo.Txn eti hii neno ni "thanks" nilichoka nilivyokuja kujua ukiangalia hii haina uhusiano kabisa, au cana badala ya "sana" na upuuzi mwingine xx/xaxa, jomoni, tyu badala ya tu, qweli badala ya kweli n.k
Afu mtumiaji wa hii lugha ukimwambia ukweli "wewe ni mshamba" anamind na kukuambia hizo ni swagger hasa vijana wa kiume wana ushamba huo sana wa kuandika uandishi wa kitoto.
Naunga mkono hoja 100%1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?
2. Ulikuwa tayari ushamla?
3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:
apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili
Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu za Kiswahili na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na maujumbe yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]
Mkerewe alilie organ yetu ivo,no huyu msukuma inaonyesha anapenda amani pia kujiongeza n kidgo,1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?
2. Ulikuwa tayari ushamla?
3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:
apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili
Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu za Kiswahili na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na maujumbe yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]