Huyo ulimnyoosha manina πππ hamna maumivu makali kama kuachwa na deniHawa viumbe ukiwa ndezi wanakupeleka kwelikweli.
Anaweza akakuacha akakurudia, anakuacha anakurudia.
Mmoja alinifanyia upuuzi huo , kaniacha kiaina siku kaachana na mpenzi wake akajipendekeza, nikampa, nikamkopa laki 5 imetoka hiyo.
Sasa wale mademu wapenda pesa ndio nawaachaga kimasihara.Huyo ulimnyoosha manina πππ hamna maumivu makali kama kuachwa na deni
Bloo..acha hizo bloo1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?
2. Ulikuwa tayari ushamla?
3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:
apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili
Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu za Kiswahili na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na maujumbe yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]
Chifu...Wanawake hawapendi watu soft and weak.
Mwenzako keshazoea anatongozwa leo kesho katinduliwa mpaka anashindwa kuamka wewe unakazana na umeamkaje, umelalaje, umeamkaje, umelalaje, umeamkaje, umelalaje.
Kama unataka mapenzi ya aina hiyo tongoza watoto wa form one.
Note: Ikimbie zinaa.
Kabisa mkuuUnachosema ni kweli jamaa itakuwa anatabirika sana yani katengeneza hiyo pattern πππ
Unayosema ni kweliNext time ukitakata kuwa na serious relationship acha hizi tabia za wavulana mkuu,
Kumtext mtu 24/7 na simu kila mara haina maana kwamba ndio ina imarisha upendo!!
Unless labda kama yeye/mwanmke ndio yupo intersted kuchat yaani anakuchatisha!!
Alivyokwambia unalalamika sana - ni kwasababu hujiamini, na unatabaia ya kuwa king'ang'anizi..
kutokujiamnini kwako kulikupotezea confidence kwenye mahusiano na
kama huna confidence huyo du wako hawezi kukuheshimu na kama hakueshimu automatically hawezi kukupenda tena ...!!
Usimjibu chochote! Hakuna kitu kinamuumiza mwanamke kama kukwambia tuachane af usimjibu!! Wee piga kimya atakutafuta haitapita mwezi!!Wa atakachojibu Yeye au?bado nachukua maarifa maana wengne wamedai nisimjibu hvyo naangalia mawazo then ntakuja na Yangu pia
Ujibu kitu gani sasa we kausha tu!Nitaweka Mkuu,nitaitaji pia maoni Yenu kulingana na sababu aliyotoa maana hata sijaelewa na pia mtanipa ushauri nimjibu vp maana bado sijamjibu.
Ila we jamaa bhanaπTulia mie nikifinyiwa ntakupa mrejesho baada ya Derby yetuπ
Kuna msemo wa kiswahili unasema mpende akupendaye usiyempenda achana naye. ndugu fikiri mara mbili usihangaike na mtu asiye na hisia naweHabarini Za wakati Huu Mabibi na Mabwana.
Takribani miezi mitatu sasa nimekuwa na mahusiano na binti flani, nimekuwa nje ya mahusiano kwa muda wa miaka minne, wakati huo nikiwa najiweka sawa kwenye mambo mengine. Hivyo nilibahatika Kumpata Binti miezi mitatu iliyopita na mahusiano yetu kiujumla yalionesha Upendo uliopo si kwangu na hata na kwake pia.
Takribani mwezi Umepita kuna Tabia ilitokea kwa huyu Binti ndani ya muda wa Siku Kama tatu nilikuwa natimiza majukumu yangu katika mahusiano kama kumjulia khali Asubuhi na pia kumtakia Usiku Mwema na kujua ni Siku yake imeishaje lakini ndani ya siku kama tatu niliyatimiza haya ila hakunijibu Simu zangu. Siku Ya nne nilimpigia simu nikaongea nae akadai kwamba alikua anaumwa, nikamweleza angenipa taarifa ila kutokujibu wala Kupokea simu zangu si jambo jema. Tuliongea hayo yakaisha.
Tatizo lingine limejitokeza leo ni Takribani siku ya nne Nimejaribu kumpigia simu hapokei, namtumia sms anazipata lakini hajibu na whatsap pia namtumia na anazisoma na anaweka mpaka sTatus ila hanijibu.
Hivyo nilikua naomba Ushauri, nichukue hatua gani katika hili Suala.
Bongo Fleva zinawaharibu sana vijana wetu waliozaliwa 2000s, yaani hata kuandika lugha yao hawajuwi.1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?
2. Ulikuwa tayari ushamla?
3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:
apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili
Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu za Kiswahili na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na maujumbe yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]
Uko sahihi !! Wanapenda mind game , anapoanzisha drama anakuwa anahitaji attention na reaction kutoka kwako ... sasa usipompa attention wala ku react ...inawasumbuwa sana wanakosa amani kichwaniUsimjibu chochote! Hakuna kitu kinamuumiza mwanamke kama kukwambia tuachane af usimjibu!! Wee piga kimya atakutafuta haitapita mwezi!!
Na wanaume wanaumizwa na nini?Uko sahihi !! Wanapenda mind game , anapoanzisha drama anakuwa anahitaji attention na reaction kutoka kwako ... sasa usipompa attention wala ku react ...inawasumbuwa sana wanakosa amani kichwani
Kweli kabisa.Wanawake wamejaa mno mkuu, text only once, call only once! Kama hakuna response yoyote piga kimya maisha yaendelee, view status kama kawaida, don't block her, just have fun. Maisha haya unang'ang'ania kitu kimoja ili iweje.
Dharau...!Na wanaume wanaumizwa na nini?