Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Kama mlichukua lodge ya elfu 10 mtapataje maji ya uhakika..ki ukweli sema hujapenda kuhamishwa Dar...hapo kuna mpaka BOT utasemaje huduma za kibenki chache..
Yote kwa yote ngoja upate Kidume cha Kimakonde utasahua yoote.
 
Mgahawa ukishame mgahawa kwa mtwara kupata chakula good ni ngumu kule mgahawa wanajua ni special kwa watu wa hali ya chini so wanapika kulingana na wateja wao

Fika pale mnarani sheli ukuta wa chuo uhuria kile pembeni kuna kihotel kidogo kwa maisha yako itakufaa wanapika good
Khouthary pale maduka makubwa ule mgahawa wanapika vizuri. Sijui km bado upi au laah,. Pia nyuma ya ile sheli ya karibu ya Nmb nyuma kulikuwa na mgahawa wanapika vizuri.
 
Kama mlichukua lodge ya elfu 10 mtapataje maji ya uhakika..ki ukweli sema hujapenda kuhamishwa Dar...hapo kuna mpaka BOT utasemaje huduma za kibenki chache..
Yote kwa yote ngoja upate Kidume cha Kimakonde utasahua yoote.
Wanaume wa kimakonde ni wambea sana wanaongea na kushushua kama wanawake!
Ndo maana hata sikushangai unavyobwabwaja hapa
 
Huko Gas Iliufanya Mkoa Uwe Na Wawekezaji Tele. Walipogundua Ni Ulaghai Sasa Hivi Zii
 
Umasikini wa Mikoa ya kusini unaweza kufananisha na kanda ya Ziwa ? kwa wastani kila familia kanda ya ziwa inamiliki ng'ombe 10 tofautisha na wanaomiliki ng'ombe 50,100,500 hadi 5000 kila kaya kanda ya ziwa hukosi Ox Plough mbili hadi tatu kwa hiyo nguvu kazi ya kilimo ni kubwa sn maeneo hayo hata huo mchele mnaokula huko sehemu kubwa unalimwa kanda za ziwa iwe Morogoro na wasukuma hao hao..
Mimi nimeshafika sana huko kanda ya ziwa yote na sio kila msukuma ana ng'ombe....njoo huku vijiji vya kilwa uone wasukuma tunavyowapa kula maua ya ufuta kwa bei ya 1000 kwa kilo hiyo yote ni kutokana na umaskini wao
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Ulimbukeni kama huu ndio unanishangazaga....Apo ukute Dsm anakaa sweken huko Kifuru
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Tatizo si Serikali
Tangu zama za kale waliukataa mguu wa Yesu wakati unapita.
Cheki sehemu mguu wa Yesu ulipotua...ndio utaona tofauti.
 
Mimi nimeshafika sana huko kanda ya ziwa yote na sio kila msukuma ana ng'ombe....njoo huku vijiji vya kilwa uone wasukuma tunavyowapa kula maua ya ufuta kwa bei ya 1000 kwa kilo hiyo yote ni kutokana na umaskini wao
Nipo liwale nasubiri msimu uje nianze kula Maua huku nasubiri kuwa chomachoma
 
Back
Top Bottom