Kwa kweli..Hana akili huyo anatetea kwao
StupidMikoa yote inafanana Tu kama Akili yako umeipanga izoee mazingira utaweza kuishi popote
Unataka uishi kama upo DAR hapo ni kujidanganya, TANZANIA bado Sana hasa Huko mikoani hata hiyo DAR nayo imechoka sanaa sioni utofauti na mikoani tu
Sa kama hujaona ni wewe, wenzio wanaona ni pazuri ndio maana umewakuta wanapafurahiaSijaona uziri wake
Naskia hata na saivi kipindi cha kiangazi ndoo inauzwa buku hadi buku jero2015 mkuu, Alafu mbele kule km unatokea Bima kwenda ile road ya uwanja wa nangwanda kuna sehemu wanauza maji ya nanda ndoo elfu 2000. Sijui kwa hivi sasa ila wale ndanda water walikuwa wanaleta maji kutoka huko ndanda na kutuuzia pale.
Uliza km bado huo utaratibu bado upo.
MkapaRaising nani?
Haha notification yangu imejaa maua mekunduDjango Doer Shangazi naona Ban imeisha.