Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Mpaka hapo umeshafeli

1.kwanza unatumia jina lako halisi

2..kama sivyo sawa..ila duniani hapa hakunaga uzalendo unaouwaza wewe watu wako after posho hata humo katika maofisi ya usalama iko hivo hakuna cha uwezo binafsi wala akili watu wako busy kuandika madokezo wapate hela.

3..kazi fulani ya kifala sana kwani we unapenda kuwa uchawa na kuwa mmbeya


4..achana na hizi isbu acha mashifo tafuta HELA kwa njia nyingine..
 
Back
Top Bottom