Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Hongera Sana

Cha kukushauri

Tumia mitandao vizuri Jamiiforum kuna watu narudia tena kuna watu

Naongea kwa uzoefu.

Sehemu unafatilia na Mimi nilikuwa Kama wewe.

Zama hizi sehemu ambayo unabidi kuitumia vizuri ni katika social networks ni rahisi kukutana na destiny helper

JF kuna watu amini kwamba.

All the best .
 
Hongera Sana

Cha kukushauri

Tumia mitandao vizuri Jamiiforum kuna watu narudia tena kuna watu

Naongea kwa uzoefu.

Sehemu unafatilia na Mimi nilikuwa Kama wewe.

Zama hizi sehemu ambayo unabidi kuitumia vizuri ni katika social networks ni rahisi kukutana na destiny helper

JF kuna watu amini kwamba.

All the best .
Wewe kama ulishapata si umkonect mwezio?ualimu ulishaacha?
 
Hongera Sana

Cha kukushauri

Tumia mitandao vizuri Jamiiforum kuna watu narudia tena kuna watu

Naongea kwa uzoefu.

Sehemu unafatilia na Mimi nilikuwa Kama wewe.

Zama hizi sehemu ambayo unabidi kuitumia vizuri ni katika social networks ni rahisi kukutana na destiny helper

JF kuna watu amini kwamba.

All the best .
Wako wapi kina Nikifa MkeWangu Asiolewe au? Na waze3 wa hovyo wanaoukula ulanzi asubuhi asubuhi kina MENEMENE TEKERI NA PERESI
 
Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.

I hold this qualifications

Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.

Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya

Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.


Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.


Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Mtoa mada wanakuja huko pm ila ukumbuke wao wemyewe wana ndugu zao huku mitaani. Madem zao na mashemej zao majobless
 
Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.

I hold this qualifications

Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.

Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya

Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.


Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.


Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Mimi sio mjuzi sana wa hii kada Ila jitahidi sifa hizi unazo orodhesha ndio hizo hizo watu wako wa karibu wanaweza kuzisema kuhusu wewe.

Jitahidi watu wako wa karibu wajue taarifa zako muhimu kuhusu wewe, marafiki zako waweze kusema mazuri kuhusu wewe, marafiki wa wazazi wako waweze kutoa taarifa sahahi kuhusu wewe.

maana itatokea huenda mathalani wamependa ujasiri wako Ila taarifa zako zikawa na mkanganyiko au watu wako wa karibu wakaleta ushirikiano hafifu na taarifa zisizo endana ukakosha kazi unayo ipenda.
 
Wewe kama ulishapata si umkonect mwezio?ualimu ulishaacha?


Ualimu ni wito siwezi kuacha kufundisha na kutoa ELIMU

Naweza nisiwe darasani Ila hapa jukwaani huwa na-share maarifa yangu kwa kias chake katika social networks zangu nyingine.

Kuhusu kumpa connection kijana mkuu Mimi hiyo sehemu sina MTU namjua

Ila jambo ambalo naweza kumwambia JF ni sehemu sahihi ya kukutana na destiny helper

Aendelee kuwa positive tu

Maana watu wengi anaangalia tu jinsi unavyojielezea na kukufata PM Ila wazee wa kukomenti huwa Mara nyingi ni negative people

So kijana aendelee kupambana atafanikiwa..
 
Mimi sio mjuzi sana wa hii kada Ila jitahidi sifa hizi unazo orodhesha ndio hizo hizo watu wako wa karibu wanaweza kuzisema kuhusu wewe.

Jitahidi watu wako wa karibu wajue taarifa zako muhimu kuhusu wewe, marafiki zako waweze kusema mazuri kuhusu wewe, marafiki wa wazazi wako waweze kutoa taarifa sahahi kuhusu wewe.

maana itatokea huenda mathalani wamependa ujasiri wako Ila taarifa zako zikawa na mkanganyiko au watu wako wa karibu wakaleta ushirikiano hafifu na taarifa zisizo endana ukakosha kazi unayo ipenda.
Kama usalama kukuchukua mpaka waulize kwa watu kuhusu tabia zako basi acha inchi ipigwe mnada
 
Ualimu ni wito siwezi kuacha kufundisha na kutoa ELIMU

Naweza nisiwe darasani Ila hapa jukwaani huwa na-share maarifa yangu kwa kias chake katika social networks zangu nyingine.

Kuhusu kumpa connection kijana mkuu Mimi hiyo sehemu sina MTU namjua

Ila jambo ambalo naweza kumwambia JF ni sehemu sahihi ya kukutana na destiny helper

Aendelee kuwa positive tu

Maana watu wengi anaangalia tu jinsi unavyojielezea na kukufata PM Ila wazee wa kukomenti huwa Mara nyingi ni negative people

So kijana aendelee kupambana atafanikiwa..
Sawa mwalimu,nimekuelewa vyema.
 
Mimi sio mjuzi sana wa hii kada Ila jitahidi sifa hizi unazo orodhesha ndio hizo hizo watu wako wa karibu wanaweza kuzisema kuhusu wewe.

Jitahidi watu wako wa karibu wajue taarifa zako muhimu kuhusu wewe, marafiki zako waweze kusema mazuri kuhusu wewe, marafiki wa wazazi wako waweze kutoa taarifa sahahi kuhusu wewe.

maana itatokea huenda mathalani wamependa ujasiri wako Ila taarifa zako zikawa na mkanganyiko au watu wako wa karibu wakaleta ushirikiano hafifu na taarifa zisizo endana ukakosha kazi unayo ipenda.
Ah wapi mkuu.. dunia vitu vingine vya wachache tujitahid kuambiana na kuukubali ukweli. Jf majobles kibao hum na rais wao ni mm. Kwa nn mtoa mada asishikilie hapohapo alipo afanye maisha mengine?. Hii kaz hata mm niliipenda sana kuna kipindi nilisoma sana vitabu vya espionage.. nikaona kuna haja y kuish maisha halis niachane na maisha ya expectations
 
Back
Top Bottom