Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mkuu Ila yawezekana pia. "Penye nia pana njia" Watu wazamani walisema baada ya kuona matokeoAh wapi mkuu.. dunia vitu vingine vya wachache tujitahid kuambiana na kuukubali ukweli. Jf majobles kibao hum na rais wao ni mm. Kwa nn mtoa mada asishikilie hapohapo alipo afanye maisha mengine?. Hii kaz hata mm niliipenda sana kuna kipindi nilisoma sana vitabu vya espionage.. nikaona kuna haja y kuish maisha halis niachane na maisha ya expectations
Kwa kulitambua hilo Umeshakuwa mkuu...huyo dogo akizidi sana umri wake ni miska 23.Ah wapi mkuu.. dunia vitu vingine vya wachache tujitahid kuambiana na kuukubali ukweli. Jf majobles kibao hum na rais wao ni mm. Kwa nn mtoa mada asishikilie hapohapo alipo afanye maisha mengine?. Hii kaz hata mm niliipenda sana kuna kipindi nilisoma sana vitabu vya espionage.. nikaona kuna haja y kuish maisha halis niachane na maisha ya expectations
mchumbaa😅😅😅vijana bwana
Wako wapi kina Nikifa MkeWangu Asiolewe au? Na waze3 wa hovyo wanaoukula ulanzi asubuhi asubuhi kina MENEMENE TEKERI NA PERESI
Kirahisi hvo?
Ebu ntumie ratiba ya SGR dar Moro Leo
Kivuruge wangu hujambo?mchumbaa
ELIMU yako Bachelor Degree of Arts with Education in Political Science and Literature politics and AdministrationKuhusu ELIMU nimesoma hadi shahada Ila Mimi naamini katika uwezo binafsi wa kujijenga
Pia Mimi naamini katika falsafa ya kuendelea kuwa mwanafunzi kila siku ndo njia yakuendelea kuwa bora.
zakunisusa myKivuruge wangu hujambo?
Kwa kulitambua hilo Umeshakuwa mkuu...huyo dogo akizidi sana umri wake ni miska 23.
Ila kwenye swala la urais wa majobles humu ndani nadhani mimi
we need to be more realistic. Mana safari hii ngum sana, inaumiza watu mioyo na inapruni maisha ya wengine.. kwa mizaha ninayofanyaga humu siku nikisema sina hela ya kula watu watagoma kunichangia au watachanga? Who van validate my situation!?. lakin kiuhalisia kabisa, Social networks sio sehem sahihi ya kes kama hii y jamaa! Na social networks hazina uaminif wa moja kwa moja kwa wote wawiliShape ur perception
Dunia na maisha kijumla MTU huwa anatazama MTU sahihi na sio yule anayempenda.
Linapokuja swala la fursa watu huwa wanaangalia mambo mengi Sana.
Unaweza kupata fursa kupitia MTU ambaye hamna hata undugu wowote.
So it is better to be positive , destiny helpers wapo sehemu yoyote
Don't underrate the power of social networks
Naanzaje sasa?majukumu tu yamenibanazakunisusa my
ok weekend nitakutafuta mrembo ukainjoiNaanzaje sasa?majukumu tu yamenibana
Kosa la kwanza ndo hiloUpo sahihi Ila wengine hatupo katika ajira rasmi kwa sasa Ila tunapenda Sana kutumia hazina zetu kuisaidia nchi hivyo muda mwingine huwa tunatumia social networks as a platform kukutana na recruiters
Sawa mywangu naandaa viwalook weekend nitakutafuta mrembo ukainjoi
Mungu akusimamie kweli kweli mana hii haichukui hata watu 100 Tanzania nzima. Ukawange kwelikweli"Ulipo wapo"
Wakivutiwa nawe watakufuata wenyewe, haina haja ya kujipambanua.
Uwezekano mkubwa wa wewe kuonekana ni shuleni, chuoni, kazini na kambi za jeshi.
Tabia ni asili, utapretend kuwa tofauti na ulivyo lakini mwisho wa siku uhalisia wako utaonekana.
HII INA APPLY KWA WALE WASIO NA CONNECTION TU.
we need to be more realistic. Mana safari hii ngum sana, inaumiza watu mioyo na inapruni maisha ya wengine.. kwa mizaha ninayofanyaga humu siku nikisema sina hela ya kula watu watagoma kunichangia au watachanga? Who van validate my situation!?. lakin kiuhalisia kabisa, Social networks sio sehem sahihi ya kes kama hii y jamaa! Na social networks hazina uaminif wa moja kwa moja kwa wote wawili
Ni sahihi kabisa mkuu.Mungu akusimamie kweli kweli mana hii haichukui hata watu 100 Tanzania nzima. Ukawange kwelikweli
Umesema una uwezo wa kifanya intelijensia mbona sasa umeshindwa kujiweka huko usalama..... katafute uji wa mchele unywe ulilala na njaa nnWakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA