Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Ah wapi mkuu.. dunia vitu vingine vya wachache tujitahid kuambiana na kuukubali ukweli. Jf majobles kibao hum na rais wao ni mm. Kwa nn mtoa mada asishikilie hapohapo alipo afanye maisha mengine?. Hii kaz hata mm niliipenda sana kuna kipindi nilisoma sana vitabu vya espionage.. nikaona kuna haja y kuish maisha halis niachane na maisha ya expectations
Uko sahihi mkuu Ila yawezekana pia. "Penye nia pana njia" Watu wazamani walisema baada ya kuona matokeo
 
Ah wapi mkuu.. dunia vitu vingine vya wachache tujitahid kuambiana na kuukubali ukweli. Jf majobles kibao hum na rais wao ni mm. Kwa nn mtoa mada asishikilie hapohapo alipo afanye maisha mengine?. Hii kaz hata mm niliipenda sana kuna kipindi nilisoma sana vitabu vya espionage.. nikaona kuna haja y kuish maisha halis niachane na maisha ya expectations
Kwa kulitambua hilo Umeshakuwa mkuu...huyo dogo akizidi sana umri wake ni miska 23.

Ila kwenye swala la urais wa majobles humu ndani nadhani mimi ni rais mstaafu.
 
Wako wapi kina Nikifa MkeWangu Asiolewe au? Na waze3 wa hovyo wanaoukula ulanzi asubuhi asubuhi kina MENEMENE TEKERI NA PERESI


Shape ur perception

Dunia na maisha kijumla MTU huwa anatazama MTU sahihi na sio yule anayempenda.

Linapokuja swala la fursa watu huwa wanaangalia mambo mengi Sana.

Unaweza kupata fursa kupitia MTU ambaye hamna hata undugu wowote.

So it is better to be positive , destiny helpers wapo sehemu yoyote

Don't underrate the power of social networks
 
Kuhusu ELIMU nimesoma hadi shahada Ila Mimi naamini katika uwezo binafsi wa kujijenga


Pia Mimi naamini katika falsafa ya kuendelea kuwa mwanafunzi kila siku ndo njia yakuendelea kuwa bora.
ELIMU yako Bachelor Degree of Arts with Education in Political Science and Literature politics and Administration
 
Kwa kulitambua hilo Umeshakuwa mkuu...huyo dogo akizidi sana umri wake ni miska 23.

Ila kwenye swala la urais wa majobles humu ndani nadhani mimi

Shape ur perception

Dunia na maisha kijumla MTU huwa anatazama MTU sahihi na sio yule anayempenda.

Linapokuja swala la fursa watu huwa wanaangalia mambo mengi Sana.

Unaweza kupata fursa kupitia MTU ambaye hamna hata undugu wowote.

So it is better to be positive , destiny helpers wapo sehemu yoyote

Don't underrate the power of social networks
we need to be more realistic. Mana safari hii ngum sana, inaumiza watu mioyo na inapruni maisha ya wengine.. kwa mizaha ninayofanyaga humu siku nikisema sina hela ya kula watu watagoma kunichangia au watachanga? Who van validate my situation!?. lakin kiuhalisia kabisa, Social networks sio sehem sahihi ya kes kama hii y jamaa! Na social networks hazina uaminif wa moja kwa moja kwa wote wawili
 
"Ulipo wapo"
Wakivutiwa nawe watakufuata wenyewe, haina haja ya kujipambanua.
Uwezekano mkubwa wa wewe kuonekana ni shuleni, chuoni, kazini na kambi za jeshi.

Tabia ni asili, utapretend kuwa tofauti na ulivyo lakini mwisho wa siku uhalisia wako utaonekana.

HII INA APPLY KWA WALE WASIO NA CONNECTION TU.
 
Upo sahihi Ila wengine hatupo katika ajira rasmi kwa sasa Ila tunapenda Sana kutumia hazina zetu kuisaidia nchi hivyo muda mwingine huwa tunatumia social networks as a platform kukutana na recruiters
Kosa la kwanza ndo hilo
 
"Ulipo wapo"
Wakivutiwa nawe watakufuata wenyewe, haina haja ya kujipambanua.
Uwezekano mkubwa wa wewe kuonekana ni shuleni, chuoni, kazini na kambi za jeshi.

Tabia ni asili, utapretend kuwa tofauti na ulivyo lakini mwisho wa siku uhalisia wako utaonekana.

HII INA APPLY KWA WALE WASIO NA CONNECTION TU.
Mungu akusimamie kweli kweli mana hii haichukui hata watu 100 Tanzania nzima. Ukawange kwelikweli
 
we need to be more realistic. Mana safari hii ngum sana, inaumiza watu mioyo na inapruni maisha ya wengine.. kwa mizaha ninayofanyaga humu siku nikisema sina hela ya kula watu watagoma kunichangia au watachanga? Who van validate my situation!?. lakin kiuhalisia kabisa, Social networks sio sehem sahihi ya kes kama hii y jamaa! Na social networks hazina uaminif wa moja kwa moja kwa wote wawili



Nimekuelewa Sana

Kila kitu ni kizuri ikiwa utakitumia in positive way
 
Mungu akusimamie kweli kweli mana hii haichukui hata watu 100 Tanzania nzima. Ukawange kwelikweli
Ni sahihi kabisa mkuu.
Hii ilikuwa inaapply sana miaka hiyo, hata kipindi cha Jakaya wamechukuliwa wengi wengi kwa style hiyo.
Mtu unaifahamu kabisa background yake, hana "Baba kanituma"
 
Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.

I hold this qualifications

Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.

Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya

Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.


Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.


Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Umesema una uwezo wa kifanya intelijensia mbona sasa umeshindwa kujiweka huko usalama..... katafute uji wa mchele unywe ulilala na njaa nn
 
Back
Top Bottom