Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Unajua vetting changamoto yake ni wanaotafuta taarifa zako hawakupi nafasi wewe kutolea ufafanuzi baadhi mambo ndiomana wengi wanakosa unakutana na Wana wanakusiribia kinoma😂😂😂😂
yaani hapo unasulubishwa na washkaji zako kinoma hukuwahi tegemea
 
Asante mkuu .

I receive (nimepokea)

Ila tuendelee Ku-chase dreams

Lengo sio kufanya umbea Ila lengo ni kushare uwezo wangu na kuisadia nchi in positive way .

Umbeya ni jukumu Namba Moja la usalama, Sasa kama lengo Lako soo Hilo hujui unachokiomba.

Usalama is all about information, data. Umbeya ni Moja ya Mbinu ya kupata au kukusanya data
 
Twambie hayakwanza kazi njenje
-baba mzazi wa SSH anaitwa nani tunazidi kuwaona walimu wake na aliosoma nao(tutafutie),hili mosi
Pili kwenye ubaya
Kati ya SAMIA HAsan suLUHU
na
Tundu antipass mgwai LIsu ,nani MBAYA kwa nchi?
 
Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.

I hold this qualifications.

Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.

Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.

Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.

Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.

Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Kwani huko usalama wanafanyaga kazi gani mkuu hadi utamani kiasi hicho?!
Erick Bernad
 
Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.

I hold this qualifications.

Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.

Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.

Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.

Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.

Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Nipigie simu tujue tunafanyaje utaweza kutunza siri mbona unaonekana kama mzaramo mbea mbea sana.....haya nipigie simu haraka sana
 
Same characteristics here. Kila lakheri namesake!
 
Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.

I hold this qualifications.

Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.

Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.

Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.

Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.

Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Huwezi kupata tafuta kazi nyingine za mikono za kuingiza kipato io achana nayo kwanza una majivuno sana
 
Wale wana vyuo maalum na masomo yao ni maalum pia siyo wote wanaohitimu hupewa hiyo kazi.

Sema miaka hii wanawaweka ndugu zao na ndiyo inaharibu kipenyo
 
Back
Top Bottom