msouzi wa kingoni
Senior Member
- May 6, 2017
- 150
- 226
Vetting means upekuzi wa mambo mbalimbali yamhusuyo mtu na maisha yakeKila jambo na taratibu zake. Kuna kitu huwa nasikia watu wakiita "vetting" Kama sijalikosea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vetting means upekuzi wa mambo mbalimbali yamhusuyo mtu na maisha yakeKila jambo na taratibu zake. Kuna kitu huwa nasikia watu wakiita "vetting" Kama sijalikosea.
yaani hapo unasulubishwa na washkaji zako kinoma hukuwahi tegemeaUnajua vetting changamoto yake ni wanaotafuta taarifa zako hawakupi nafasi wewe kutolea ufafanuzi baadhi mambo ndiomana wengi wanakosa unakutana na Wana wanakusiribia kinoma😂😂😂😂
Rudini mpumalangaConnection inamata lakin sio Kila wakati, mm mwenyewe Babu yetu alishawahi kuwa mkurugenzi kabisa katika hiyo idara mbona tupo tunaishia kudhaniwa😂😂😂😂
Tukimgundua tutampakata .Usalama wa nchi ni jukumu lako, hakuna mtu anayelipwa kwa kazi hiyo. Anza kwa kutoa taarifa za wahalifu, wala rushwa na wakwepa kodi katika mamlaka husika.
Asante mkuu .
I receive (nimepokea)
Ila tuendelee Ku-chase dreams
Lengo sio kufanya umbea Ila lengo ni kushare uwezo wangu na kuisadia nchi in positive way .
Niambie mkuu
Kwani huko usalama wanafanyaga kazi gani mkuu hadi utamani kiasi hicho?!Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications.
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
YANI movies na hizo series zinaharibu mentality za vijana wengi.Hakuna Kazi mbaya duniani kama hii
Acha kuangalia hio series unaangalia sa hivi mdogo wangu
Nipigie simu tujue tunafanyaje utaweza kutunza siri mbona unaonekana kama mzaramo mbea mbea sana.....haya nipigie simu haraka sanaWakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications.
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Huwezi kupata tafuta kazi nyingine za mikono za kuingiza kipato io achana nayo kwanza una majivuno sanaWakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications.
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
We kweli kalagabaho 😂😂😂😂😂😂🙌Mbona mim nimepata ila sisemi, lakin sikuomba na sikuwa na konekshen wala nn
Makari hujambo?We kweli kalagabaho 😂😂😂😂😂😂🙌
😂😂😂😂We kweli kalagabaho 😂😂😂😂😂😂🙌