Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huyu ni uniki flawa aliechangamka.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hahe tena.Nairobi ya Kongwa labda, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utahaha sana, mbona hapo badooo. Woiiiiih
Duuh yaani so poa kama hivo sawa ila 10m itakua anae oa ni wale matajiri na mapesa yaoNdio
Ucjariii!!Asante ntapoa shangazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] supu ya mapupu tena ya kuchorwaaa.Ni hahe tena.
Mi nalala na mchuchu
Naamka na supu ...
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama utaki basi bana 😂😂😂😂🙌🙌[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] supu ya mapupu tena ya kuchorwaaa.
Poleeeeh
Hata kama sealed ni ushenziSema daah 10M mbona nyingi hivo..
Yaani 10M nakuta kitu siled au ..??
Bora nisubri huyo wa 10M aoe alafu nile hikonchombo kama mshangazi 😂😂😂😂😂😂
Ni maoni yangu tuu
[emoji23][emoji23][emoji23] amka dogo, utakojoa hewa.Kama utaki basi bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Ila ndo hvo sasa hvi mambo ni dy/dx et
kwani hapa anazungumzia ndoa..? mbona mi naona kama anazungumzia biashara na bei ameweka! sema bichwa langu sometimes zito!Hebu amka mwayaa!! Ndoa zina wenyewe, na wenyewe sio wee.
Poleeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee komwee em sema kwelii.kwani hapa anazungumzia ndoa..? mbona mi naona kama anazungumzia biashara na bei ameweka! sema bichwa langu sometimes zito!
shauli yenu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee komwee em sema kwelii.
Lamomy huyu Kuna kitu anamtafuta😅Nime kufananisha na Unique Flower