Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
- Thread starter
- #21
Asantee mkuu Kwa ushauri unanishauri niwanunue wangap Kwa majaribio mkuuSafisha banda kisha
Nunua dawa inaitwa V rid. Pulizia bando Mara mbili kabla hujaleta wengine