Nipo njia panda wajasiriamali nisaidieni natamani kurudia tena uwekezaji huu wa kuku ila nasita

Nipo njia panda wajasiriamali nisaidieni natamani kurudia tena uwekezaji huu wa kuku ila nasita

Kama uzi unavyojieleza. Salam! Wana jf.. Najua Kuna watu wamenizidi umri humu bas shikamooni

Kwanza kabisa mi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa 3 na wa mwisho, nilipanga mwaka wa 3 nianze kufuga kuku ili wa nisaidie apo mbeleni katika pesa nazopata za kujikimu (boom).

Ni kweli pesa za awam ya kwanza nilinibana Sana Nika tenga laki mbili nikaanzisha mradi wa kuku Kwa bahat Mbaya wale kuku walikufa wote,

Sasa nimepata tena laki mbili zingine wakuu na mda unazidi kusonga Sana Saiv ni January mwezi wa 7 namaliza chuo nikiwaza tena kununua kuku nawaza jinsi awam ya kwanza ilivyokua japo siwez kusema watakufa tena ila wasi wasi ni muhim maana mimi ni mwanadam

Nishaurini je nirudie tena kwenye kuku kule kule au nifuge mfugo gani ambao naweza kupata faida ndani ya miez 7?

Nb. Kuku awam ya kwanza niliwapa dawa, za aina yote ila yakatokea hayo niliyoleza apo juu..

Kiukweli lengo langu mwezi wa wa 8 mwaka Huu Mungu akipenda nipate mtaji ambao utatokana na uwekezaji huo mtakao nishauri kama nilivo Omba apo juu

Asante Sana kwa watakaonisaidia Kwa mawazo Mazuri yenye kunijenga asanteni.!
Brother, kwanza pole na hongera. Nakupa hongera kwa kuwa naamini kuna kitu umejifunza kwa hayo matatizo. "Kuomba ushauri". Katika biashara yoyote ile kabla hujaingia unatakiwa kuuliza wahenga, wakupe hatua zote na nini cha kufanya. Sitakwambia ni biashara hani ufanye lakini yafuatayo yatakusaidia.

- Moja; wekeza kwene kitu unachokijuwa. Kuna mwandishi mmoja anaitwa Brayan Rich, ameandika kitabu kimoja cha The secret of Rich people. Amesema " rich people invest in what they know". Inakuwa ni rahisi sana kutatua matatizo yanapojitokeza"

-pili; kuna kitabu kimoja kinaitwa " The Inteligent investor" kimeandikwa na Benjamini Graham ( Huyu jamaa ni role model wa Warren Buffert ). Kuna kitu kimoja alikiongelea " Worning of Santayana" - It says Those who do not remember the past are condemned to repeat it. Sasa hapo cha kujifunza ni kuwa sio kwamba tunatakiwa kukumbuka yaliyopita ili yatuimarishe na kujifunza tulipokosea ili tusiyarudie

- Tatu; Soma sana Vitabu na majarida mbalimbali. Hii inakusaidia kuongeza ujuzi zaid na umahiri katika biashara yako. Nikisema soma sana vitabu sina maana ya kuwa usome sana vitabu kuhusu biashara yako tu ( mf. Kuku) , soma vitabu mbalimbali vitakavyokujenga ila usisahau pia kusoma vinavyohusu biashara yako. Unaweza ukapata mbinu ya kutatua jambo la biashara yako kutoka kwene idea ya mwandishi aliyeandika kitabu ambacho hakihusiani ya biashaya yako. Pia vinakuimarisha usikate tamaa .

[emoji122] [emoji122] All the Best
 
Brother, kwanza pole na hongera. Nakupa hongera kwa kuwa naamini kuna kitu umejifunza kwa hayo matatizo. "Kuomba ushauri". Katika biashara yoyote ile kabla hujaingia unatakiwa kuuliza wahenga, wakupe hatua zote na nini cha kufanya. Sitakwambia ni biashara hani ufanye lakini yafuatayo yatakusaidia.

- Moja; wekeza kwene kitu unachokijuwa. Kuna mwandishi mmoja anaitwa Brayan Rich, ameandika kitabu kimoja cha The secret of Rich people. Amesema " rich people invest in what they know". Inakuwa ni rahisi sana kutatua matatizo yanapojitokeza"

-pili; kuna kitabu kimoja kinaitwa " The Inteligent investor" kimeandikwa na Benjamini Graham ( Huyu jamaa ni role model wa Warren Buffert ). Kuna kitu kimoja alikiongelea " Worning of Santayana" - It says Those who do not remember the past are condemned to repeat it. Sasa hapo cha kujifunza ni kuwa sio kwamba tunatakiwa kukumbuka yaliyopita ili yatuimarishe na kujifunza tulipokosea ili tusiyarudie

- Tatu; Soma sana Vitabu na majarida mbalimbali. Hii inakusaidia kuongeza ujuzi zaid na umahiri katika biashara yako. Nikisema soma sana vitabu sina maana ya kuwa usome sana vitabu kuhusu biashara yako tu ( mf. Kuku) , soma vitabu mbalimbali vitakavyokujenga ila usisahau pia kusoma vinavyohusu biashara yako. Unaweza ukapata mbinu ya kutatua jambo la biashara yako kutoka kwene idea ya mwandishi aliyeandika kitabu ambacho hakihusiani ya biashaya yako. Pia vinakuimarisha usikate tamaa .

[emoji122] [emoji122] All the Best
Sory hapo kwene ushauri wa PILI, nimechanganya maelezo. Ni hivi ....siyo kwamba tunatakiwa kukumbuka yaliyopita ili yatutie woga na wasiwasi na kukata tamaa , Bali tunayakumbuka ili tujifunze tulipokosea na kutuimarisha zaidi tusiyarudie makosa hayo.....
 
Kama uzi unavyojieleza. Salam! Wana jf.. Najua Kuna watu wamenizidi umri humu bas shikamooni

Kwanza kabisa mi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa 3 na wa mwisho, nilipanga mwaka wa 3 nianze kufuga kuku ili wa nisaidie apo mbeleni katika pesa nazopata za kujikimu (boom).

Ni kweli pesa za awam ya kwanza nilinibana Sana Nika tenga laki mbili nikaanzisha mradi wa kuku Kwa bahat Mbaya wale kuku walikufa wote,

Sasa nimepata tena laki mbili zingine wakuu na mda unazidi kusonga Sana Saiv ni January mwezi wa 7 namaliza chuo nikiwaza tena kununua kuku nawaza jinsi awam ya kwanza ilivyokua japo siwez kusema watakufa tena ila wasi wasi ni muhim maana mimi ni mwanadam

Nishaurini je nirudie tena kwenye kuku kule kule au nifuge mfugo gani ambao naweza kupata faida ndani ya miez 7?

Nb. Kuku awam ya kwanza niliwapa dawa, za aina yote ila yakatokea hayo niliyoleza apo juu..

Kiukweli lengo langu mwezi wa wa 8 mwaka Huu Mungu akipenda nipate mtaji ambao utatokana na uwekezaji huo mtakao nishauri kama nilivo Omba apo juu

Asante Sana kwa watakaonisaidia Kwa mawazo Mazuri yenye kunijenga asanteni.![/QUOTE
Samahani mkuu hiyo laki mbili ni mtaji wakuku wa biashara au ni kuku wa kula nyumbani.na hao kuku ni wa aina gani kama ni hawa wa nyama wa kizungu kwa laki mbili nakataaa.

Kwa sababu wakati nipo form four niliwahi kufuga hawa kuku ni wana gharama mno hasa kwenye ulishaji japo kuwanunua ni bei rahisi vifaranga .
 
Back
Top Bottom