Nipo online niulize chochote kuhusu mimi

Nipo online niulize chochote kuhusu mimi

1) Ukiwa na masters ya uchumi Je imeleta faida gani kwenye maisha yako na nchi yako?
2) Kama ukipata nafasi ya kuteuliwa kuwa waziri wa uchumi utaanza na ajenda ipi ili kuukuza uchumi wa nchi?
3) Kwanini umechukuwa masters ya uchumi wakati nchini kwetu haitoi kipaumbele kwa wachumi?
4) Mpaka sasa umefaidika vipi na elimu yako? Pia umesema wewe ni mfanyabiashara ni biashara ya mazao?
5) Kitu gani unapendelea kufanya na kuleta furaha kwako? Mfano ukiwa na mpenzi wako unapendelea akufurahishe au mfurahishane? Je una tenga muda wa familia na muda wa kucheza na familia na muda wa masomo kwa mtoto na wewe mwenyewe?.
6) Nitajie vitabu vi3 unavyopenda kusoma, movies 3 unazozipenda, na sehemu 3 ungependelea kwenda?
 
Hahahahahaha watu wanapenda wawe ajenda kwa wenzao. Yaani umekataa kujibu watu unaokutana nao kila siku na wanaokuomba hata namba za simu. Ila unakuja huku kwa jina feki unataka uulizwe maswali.
Oooook leo umekula ??
Alafu anajiita yeye anajitambua... Upuuzi mtupu!
 
Back
Top Bottom