Nipo online niulize chochote kuhusu mimi

Wewe ndie Monicca wa kule Badoo dot com?
 
ahsante. Uneolewa? yapi matarajio/mikakati yako ktk swala zima la kuinua vijana wenye elimu kama yako ambao bado hawajapata mwanga wa kipi cha kufanya?? je ni masters ya mambo gani uliyosomea
Maswali ya kitoto haya kila mtanzania msomi kakaririshwa jinsi ya kujibu.
 
Kwa kuwa nimemuuliza swali kwa post hii anataka nipitie post zake za nyuma ndiyo jibu la swali langu lilipo..!![emoji33]

Sasa nauliza kichwa cha post kinasemaje na kwa nini hakijasema kama anavyotaka?
 
daaaaaah nimekupenda bureeee,
akijibu ayo maswali nishtuee nipate elim kidogoo
 
Kwa kuwa nimemuuliza swali kwa post hii anataka nipitie post zake za nyuma ndiyo jibu la swali langu lilipo..!![emoji33]

Sasa nauliza kichwa cha post kinasemaje na kwa nini hakijasema kama anavyotaka?
Achana nae uyo n kiaz kama viaz vingine
 
wanawake wanaotafuta wana ume JF wanakuja kwa mbinu nyingi sana. wanaume miaka hii ni bidhaa adimu na inaelekea kutoweka kabisa. maana kuna thread unajua tu huyu anatafuta mwanaume wa kumwoa ila anashindwa kuwa wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…