Nipo online niulize chochote kuhusu mimi

Nipo online niulize chochote kuhusu mimi

Picha yangu halisi ni hiyo hapo kwa avator
ahsante. Uneolewa? yapi matarajio/mikakati yako ktk swala zima la kuinua vijana wenye elimu kama yako ambao bado hawajapata mwanga wa kipi cha kufanya?? je ni masters ya mambo gani uliyosomea
 
mwenye master's hana kazi ya kufanya

Buhahahahha

Vyuma vimekaza kweli
 
Back
Top Bottom