Nipo online niulize chochote kuhusu mimi

Nipo online niulize chochote kuhusu mimi

Hahahahaa.. nimeficha nisijulikane sana. Nafuata maelekezo ya kutumia avatar zetu au zinazoendana na sisi. Sasa hiyo ni mimi nimeficha sura ya baba tu hapo
Teh teh teh!
Mimi nataka picha bwana eeeh!
A4 kama tulivyokubaliana siku ile basi, nipe sababu ya kwenda mnadani kuuza ng'ombe basi!
 
Back
Top Bottom